King'amuzi cha IPP (Digtek) kuanza rasmi Jumatatu!

King'amuzi cha IPP (Digtek) kuanza rasmi Jumatatu!

Mpaka mwaka huu unaisha isha basi ving`amuzi vitakuwa vingisa lakini hivina kazi hata hao wanaotengeneza hawajui namna ya kumvata ama kumshawishi mteja
 
Alikuwa wapi siku zote hizo? TCRA hebu fungukeni, la sivyo hiyo teknlojia ya digital inaanza kuwa kero na mzigo kwa watanzania. Sasa mbona kila mtu anibuka na decorder yake kwa kisingizio cha ubora wa hali ya juu.

Tekinologia iliyo bora si ile inayofanya maisha kuwa magumu
.

Alikua anajipanga cha kuleta kwenye huu ulimwengu wa soko huria. Hata ww unaweza kuanzisha cha kwako! Sio lazima ununue...tafuta utakachokua na uwezo wa kununua. Kumbuka vizuri gharama
 
Habari nilizozipata jioni hii kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa BTL kuna tetesi kuwa wataviweka sokoni rasmi na washafunga mitambo yao. Ni full kuenjoy kwani unatumia antena ya ndani (indoor antena) si kama startimes. Bei zake zitaendana na ubora wao ni full HD, MP4, Waweza kurekodi vipindi.
Kwa mwezi utalipia 6000 na vitauzwa kwa sh.140,000.

Tunajali ubora na si bei kwetu wateja bei hatujali sana
 
Habari nilizozipata jioni hii kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa BTL kuna tetesi kuwa wataviweka sokoni rasmi na washafunga mitambo yao. Ni full kuenjoy kwani unatumia antena ya ndani (indoor antena) si kama startimes. Bei zake zitaendana na ubora wao ni full HD, MP4, Waweza kurekodi vipindi.
Kwa mwezi utalipia 6000 na vitauzwa kwa sh.140,000.

Kwa anaejua nini maana ya HD basi hiyo 140,000/= kwa king'amuzi ni sawa na bure. Kama unataka kujua HD decoder ina uzwa kiasi gani waulize wale wazee wa pale karibu na st peters "dstv" nadhani wanaiuza 1000 usd.

Na 6000/= kwa high definition ni zaidi ya bure natamani DSTV ife leo kabla ya kesho maana wanatunyanyasa sana!
 
si umepata habari lakini? Yani wewe ndo umeelewa sana kuliko walocomment eh! Wa2 bwana!

Lengo ilikuwa ni kupata ufafanuzi zaidi na kila mtu huwa anaelewa kwa kiasi chake. Swali langu halina nia yoyote mbaya samahani kama nimekukwaza.
 
Kwa anaejua nini maana ya HD basi hiyo 140,000/= kwa king'amuzi ni sawa na bure. Kama unataka kujua HD decoder ina uzwa kiasi gani waulize wale wazee wa pale karibu na st peters "dstv" nadhani wanaiuza 1000 usd.

Na 6000/= kwa high definition ni zaidi ya bure natamani DSTV ife leo kabla ya kesho maana wanatunyanyasa sana!

mkuu Mohammed Shossi;

Angalizo:

DSTV wanayouza ni a 3D decorder tena ni dola 400 tu....HD decorders unapata hata kwa elfu 60,000 mtaani.
 
Na dialo wa startv anakuja na king'amuzi cha continental
 
...watu wengine Bwana!! ni wa kupenda sifa ..... hawakuweza kubadili neno la King'amuzi kuwa Kisumbufu muda wa miaka na miaka ... lakini leo wanatulazimisha tusiite King'amuzi ... siku zote walikuwa wapi?????????/
 
Tatizo la DSTV local chanel unapata moja tu na watuwengi wanapenda kujua habari za nyumbani kwanza kabla hawajaenda kwenye mpira.
kama ni local channels basi weka na Star times kwani hata mie nina Dstv na star times for local channels but hiyo star times sijawahi kulipia as ninapata karibu local channels 5, kama TBC1,Channel 5,ITV,Star Times na Channel 10 bureee na hii star times nimenunua mwaka jana mwezi wa tisa baada ya kusikia kuwa kuna hiyo idadi ya local channels na kulipa 9000 na baada ya hapo sijawahi kulipa hata senti nakula tu local channels.
 
Star times wameshafanya Biashara! wametuuzia taka taka......King'amuzi kama Toy....Aibu aibu!
 
naona hapa Bongo pesa iko nje nje tu na vile mamlaka ya mawasiliano imelala na haifuatilii ubora wa ving'amuzi...aaah na mimi ngoja nitengeneze aina yangu ya ving'amuzi. jameni mimi naishangaa hiyo mamlaka..yaani imeshindwa kufuatilia kuhahakisha kwamba kila kampuni yenye ving'amuzi LAZIMA ionyeshe chaneli zooote za nyumbani then hizo za kwao za bishara iwe ni ziada tu! shhiit the rotten country!
 
kama ni local channels basi weka na Star times kwani hata mie nina Dstv na star times for local channels but hiyo star times sijawahi kulipia as ninapata karibu local channels 5, kama TBC1,Channel 5,ITV,Star Times na Channel 10 bureee na hii star times nimenunua mwaka jana mwezi wa tisa baada ya kusikia kuwa kuna hiyo idadi ya local channels na kulipa 9000 na baada ya hapo sijawahi kulipa hata senti nakula tu local channels.

Kumbe tuko wengi, nliamua kuweka sta times baada ya kugundua kua local chenel hazitakua hewani baada ya mitambo ya anology kuzimwa. Ila huu utitiri wa ving'amuzi inabidi udhibitiwe kwa maslahi ya watumiaji.
 
muda si mrefu mafundi wa vingamuzi watatokea mtaani! Hii nayo itaaongeza idadi ya ajira!
 
Star time inatosha..........local channels za kutosha kabisa.
 
Kumbe tuko wengi, nliamua kuweka sta times baada ya kugundua kua local chenel hazitakua hewani baada ya mitambo ya anology kuzimwa. Ila huu utitiri wa ving'amuzi inabidi udhibitiwe kwa maslahi ya watumiaji.

Hapo kwenye red kaka ni kweli ila sasa tungengoja hadi lini wakati hawa TCRA wamemezeshwa ulimi na Dstv so wanashindwa kusema nao kuhusu kuongeza local channels? Maana wakati huo sie tunangoja hadi wafikie muafaka mambo mengi sana ya ndani yatatupita sasa that was the only way out
 
Back
Top Bottom