King'amuzi cha IPP (Digtek) kuanza rasmi Jumatatu!

King'amuzi cha IPP (Digtek) kuanza rasmi Jumatatu!

muda si mrefu mafundi wa vingamuzi watatokea mtaani! Hii nayo itaaongeza idadi ya ajira!

wapo pale Mbagala mission ukiwa kama unaenda Mbagala kuu na bango lao kuubwa "mafundi wa ving'amuzi."
hii ndio Tanzania kila kitu dili
 
Habari nilizozipata jioni hii kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa BTL kuna tetesi kuwa wataviweka sokoni rasmi na washafunga mitambo yao. Ni full kuenjoy kwani unatumia antena ya ndani (indoor antena) si kama startimes. Bei zake zitaendana na ubora wao ni full HD, MP4, Waweza kurekodi vipindi.
Kwa mwezi utalipia 6000 na vitauzwa kwa sh.140,000.

Tujuze pia tzs. 140k inanunua channel ngapi na za aina gani? isije kuwa imejaa upuuzi wa chaneli za kichina china CCTV 0001 mpaka 2013!! useless channels with no value for money!
Customer be aware of what you are buying!
 
Hapo kwenye red kaka ni kweli ila sasa tungengoja hadi lini wakati hawa TCRA wamemezeshwa ulimi na Dstv so wanashindwa kusema nao kuhusu kuongeza local channels? Maana wakati huo sie tunangoja hadi wafikie muafaka mambo mengi sana ya ndani yatatupita sasa that was the only way out

Mkuu nchi ilivyo ya ajabu, unaweza kukuta kuna wadau muhimu wa TCRA wana mgao wao katika mauzo ya hivi ving'amuzi vinavyouzwa kila siku.
 
mkuu Mohammed Shossi;

Angalizo:

DSTV wanayouza ni a 3D decorder tena ni dola 400 tu....HD decorders unapata hata kwa elfu 60,000 mtaani.

Watu wanashindwa kutofautisha kati ya HD na 3D
 
Mkuu nchi ilivyo ya ajabu, unaweza kukuta kuna wadau muhimu wa TCRA wana mgao wao katika mauzo ya hivi ving'amuzi vinavyouzwa kila siku.

hilo nalo neno maana hii nchi imekuwa kila kitu ni 10%,so tusitegemee saaana mabadiliko ya Ghafla kama tunavyoziona hizi changamoto ingawa nayo ndio kama sie walalahoi tunajipigia msumari kwenye jeneza letu maana hao walala hai sidhani kama hata wanajua maisha yetu yakoje huku sie walala hoi na bei za vitu maana wao wanaishi kwa 10% kila angle.
 
dish ndo mpango mzima, free channels hakuna mambo ya ku-stuck wala nn ndo mpango mzima hayo mavi-ng'amuzi ni wizi mtupu!
 
TCRA kama national regulator katika sekta ya mawasiliano wamelala
inabidi tuwaamshe kwa kuwatimua ofisini kwao tuibinafsishe
wao mteja akiumia sio tija.watoe AMRI haraka iwezekanavyo na ndio kazi yao
kuwa kila SERVICE PROVIDER lazima aweke local channels zote na ziwe bure ili kumpunguzia mlaji au mtumiaji mzigo wa kuwa na decorder nyingi. NDIVO WANAVOFANYA NCHI ZA WENZETU watumia cables na lazima ziwe na local channes bureeee
sisi tunawachekea TCRA, what are they doing in the office? are they qualified to run such office???????agrrrrr
 
Wale tunaoshangaa kwa nini mengi nae aje na king'amuzi chake ni kwa sababu ama tumesahau au atufuatilii taarifa. Tanzania kuna makampuni matatu yalipewa leseni ya digital,startimes,agape na btl ya mengi,hao zuku ni mfumo wa dstv hawauzi ving'amuzi vinavyotumia antena bali madish. Kuhusu kuangalia chanel za free kwenye ungo ni sahihi lkn tuombe hao akina itv wasije kuzifunga km ATN walivyofanya ili wapate wateja kwenye digital yao ya gharama kubwa .
 
TCRA kama national regulator katika sekta ya mawasiliano wamelala
inabidi tuwaamshe kwa kuwatimua ofisini kwao tuibinafsishe
wao mteja akiumia sio tija.watoe AMRI haraka iwezekanavyo na ndio kazi yao
kuwa kila SERVICE PROVIDER lazima aweke local channels zote na ziwe bure ili kumpunguzia mlaji au mtumiaji mzigo wa kuwa na decorder nyingi. NDIVO WANAVOFANYA NCHI ZA WENZETU watumia cables na lazima ziwe na local channes bureeee
sisi tunawachekea TCRA, what are they doing in the office? are they qualified to run such office???????agrrrrr

...Wako Bize Mikoani wakila PerDiem Kwa Kisingizio cha Kutangaza Ujio waDijitali Mikoani lakini Yale Mambo Muhimu Kabisa kwa Ajili ya Faida ya Mtumiaji wa Mwisho, Kama hili la Kulazimisha (Sio Kuomba!)kila Provider kuweka Local Channel zote Free!!!
Hivi Huko Mikoani Wanakopita, Hakuna Mtu wa Kuwauliza Swali Muhimu Hili????
 
mimi nangoja tu.....vitakuja kuuzwa kwa mafungu,fungu moja la ving'amuzi kumi elfu 20
 
  • Thanks
Reactions: awp
Ni janga la kitaifa kwa ofisi kubwa hii kukaa kimya
kwa tafiti ISIO RASMI nlizofanya vitengo vinavoongozwa na maprofessa ambavo sivo vya elimu
havitendi kazi kw ufanisi.
nadhani kuna tatizo la qualified expert pia huko TCRA nadhani wamulikwe huenda ndio hao hao wanapewa kazi kwa kujuana. kama wana mtu mwenye masters ya ICT law watuambie, if so inakuwaje wanashindwaje kujua role ya national reulator??? kwanini hadi leo wananchi wanaumia wao wako kimya???? why??
wao wanangangania simu kushuka bei wakasau hata matangazo ya tv kazi yao si kuzima mitambo tu
wanatakiwa kuhakikisha kabla hawajazima wale waliopewa tenda kama service provider wanalazimishwa kuweka hizo local channels zote tena kwa ubora wa hali ya juu. Walikurupuka kuzima mitambo ile. ni UDHAIFU MKUBWA SANA.
labda washachukua 10% ili kuruhusu makampuni mengi yaje kwenye soko kama kawaida yao ili mwananchi aumie.


UOTE=BabaDesi;5591002]...Wako Bize Mikoani wakila PerDiem Kwa Kisingizio cha Kutangaza Ujio waDijitali Mikoani lakini Yale Mambo Muhimu Kabisa kwa Ajili ya Faida ya Mtumiaji wa Mwisho, Kama hili la Kulazimisha (Sio Kuomba!)kila Provider kuweka Local Channel zote Free!!!
Hivi Huko Mikoani Wanakopita, Hakuna Mtu wa Kuwauliza Swali Muhimu Hili????[/QUOTE]
 
yaani wafanyabiashara kama akina mengi hawana hata aibu na wao kuamua kujiingiza kwenye biashara ya kuwaibia wananchi...140000 watatoa wapi...kuna watanzania wengi waliokua wapenzi wa ITV lakini hata 70000 hawajui imekaaje ndio waje kulipia 140K...acheni upuuzi...
 
khaaaaa!! TSH 140,000 maybe itajumlisha subscription ya mwaka.
 
Hapo afadhali. kama itakuwa na ubora wa picha itakuwa vizuri kulikow hawa wanaotudanganya danganya
 
niambien kama hicho "kimaudhi"er king'amuzi cha mengi kitafika huku ughaibuni zenjiberi!
 
kama channel ya EMMANUEL TV itakuwepo, nitanunua tu!!
 
Back
Top Bottom