King'amuzi cha Digitek

King'amuzi cha Digitek

Wikiliki

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
528
Reaction score
141
Wadau kuna mtu humu ambaye ameshaanza kutumia kingamuzi cha digitek, je muonekano wake upoje ni HD kweli. Umeki rate vipi.
Asanteni.
 
kwani vimeshaanza kuuzwa?wenye experience navyo si mbaya wakituambia na channel
gani zinapatikana kwenye iko king'amuzi
 
Wadau kuna mtu humu ambaye ameshaanza kutumia kingamuzi cha digitek, je muonekano wake upoje ni HD kweli. Umeki rate vipi.
Asanteni.

Muonekano wake ni mzuri sana nani wa HD na kinatumia antena ya ndani tu yoyote.Bei ni Tsh 160,000 pamoja na atena na kifurushi cha mwezi mmoja.Na bill yake kwa mwezi ni elfu 6 tu, kimajumuisha local 10 na International news kidogo.Kwa sasa kama unaitaji waweza kunijulisha au piga no 0784635662.Get connectes with Digteck
 
Muonekano wake ni mzuri sana nani wa HD na kinatumia antena ya ndani tu yoyote.Bei ni Tsh 160,000 pamoja na atena na kifurushi cha mwezi mmoja.Na bill yake kwa mwezi ni elfu 6 tu, kimajumuisha local 10 na International news kidogo.Kwa sasa kama unaitaji waweza kunijulisha au piga no 0784635662.Get connectes with Digteck

poa mkuu kina chanel gani na ngapi za move, na watoto?
 
Muonekano wake ni mzuri sana nani wa HD na kinatumia antena ya ndani tu yoyote.Bei ni Tsh 160,000 pamoja na atena na kifurushi cha mwezi mmoja.Na bill yake kwa mwezi ni elfu 6 tu, kimajumuisha local 10 na International news kidogo.Kwa sasa kama unaitaji waweza kunijulisha au piga no 0784635662.Get connectes with Digteck

Mkuu king'amuzi hiki hakina malipo ya kila mwezi. Ukinunua kwa hiyo gharama ya 160000 imetoka hiyo.
 
Muonekano wake ni mzuri sana nani wa HD na kinatumia antena ya ndani tu yoyote.Bei ni Tsh 160,000 pamoja na atena na kifurushi cha mwezi mmoja.Na bill yake kwa mwezi ni elfu 6 tu, kimajumuisha local 10 na International news kidogo.Kwa sasa kama unaitaji waweza kunijulisha au piga no 0784635662.Get connectes with Digteck
Jamani,mbona tangazo la ITV linasema hakuna malipo ya kila mwezi.
 
HD ni High Definition kwa maana kwamba muonekano wa picha zake ni wa kiwango cha juu sana na ziko clear. Hakuna chenga hata kidogo.
Obviously hakuna chenga hata usingesema, au unadhani kuna kingamuzi au digital broadcasting yoyote yenye chenga duniani? Digital display ya TV ina output mbili tu, either unapata picha au hupati/inaganda, hayo mambo ya chenga yapo kwenye analogue.
 
Dahhh... King'amuzi kwa gharama ya 160,000/-. Naona vingamuzi vinabanana na madishi. Kwa hiyo, ikiwa napanga kununua TV, inanipasa niongeze 160,000/-. Haya bana, sijui kama nitanunua TV mwaka gani. Nitabana humu JF, kwenye blogs n.k.
 
Obviously hakuna chenga hata usingesema, au unadhani kuna kingamuzi au digital broadcasting yoyote yenye chenga duniani? Digital display ya TV ina output mbili tu, either unapata picha au hupati/inaganda, hayo mambo ya chenga yapo kwenye analogue.

Nimekupata mkuu,thanx!
 
Dahhh... King'amuzi kwa gharama ya 160,000/-. Naona vingamuzi vinabanana na madishi. Kwa hiyo, ikiwa napanga kununua TV, inanipasa niongeze 160,000/-. Haya bana, sijui kama nitanunua TV mwaka gani. Nitabana humu JF, kwenye blogs n.k.

jf ni jf na tv ni tv kwa huna hela subiri utakapopata hela utanunua tu tena smart tv LED ya samsung au sony..
 
Jamani,mbona tangazo la ITV linasema hakuna malipo ya kila mwezi.

Na hili lenye vyombo vya habari wanaosema baada ya mwezi mmoja hawarusha matangazo tena mnalichukuliaje ndugu zangu.Ni ukweli mtupu kuwa watu wengi hawajununua ving'amuzi hivyo habari kutowafikia.
 
Jamani,mbona tangazo la ITV linasema hakuna malipo ya kila mwezi.

Mjini hapa ndugu yangu watu washaanzisha mradi.......Mi nilikuta watu wananunua decorder za Star Times kwa 120,000/= watu wanapiga hela
 
Na hili lenye vyombo vya habari wanaosema baada ya mwezi mmoja hawarusha matangazo tena mnalichukuliaje ndugu zangu.Ni ukweli mtupu kuwa watu wengi hawajununua ving'amuzi hivyo habari kutowafikia.
Jamaa hawatorudi nyuma,wanasema 18% ya watanzania ndiyo wana umeme,sasa ukisema watanzania wengi hawapati matangazo hayo matangazo unakuwa hauko sahihi. Si maneno yangu ni ya J.Makamba.
 
Back
Top Bottom