Ukwel mtupu
Member
- Jan 30, 2014
- 40
- 8
Wakuu tangu azam atoe ving'amuzi vyake nilkuwa bado sijaviona lakin leo katika pitapita yangu nikaweza kumkuta jamaa mmoja anacho aisee nimevutiwa sana na hiv ving'amuz kwanza channel ni nyingi pia rangi imetulia tatizo ni dish lake kuwa kubwa sasa kwa sisi tunaoish kwenye upangaji tutapata shida sana kwenye ufungaji pia kuhamahama itakuwa ni usumbufu sana!