BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,496
- 5,693
Habari za muda huu
Wakuu, leo tangu asubuhi kila nikitaka kuangalia habari kwenye luninga yangu chanels hazisomi,nilidhani tatizo la muda,nimekwenda kwenye mihangaiko yangu,nimerudi bado, hamna kitu,sasa ni mimi tu au na wengine?
Tujuzane mwenye ufahamu zaidi.
Wakuu, leo tangu asubuhi kila nikitaka kuangalia habari kwenye luninga yangu chanels hazisomi,nilidhani tatizo la muda,nimekwenda kwenye mihangaiko yangu,nimerudi bado, hamna kitu,sasa ni mimi tu au na wengine?
Tujuzane mwenye ufahamu zaidi.