King of East Africa (bilashaka huu ndiye anayeongoza

Kwa awamu hii hakuna mwanajeshi mwenye moyo wa kwenda kupigana. wengi mabishoo. jiwe hakubaliki nchini, labda wazembe wa Chato tuuu, Wakongwewa vita tokea enzi za K.A.R.-- Tarime,Mugumu, mmmm yaani wakurya woote watamuunga mkono Kagame kuiondoa CCM madarakani
Kagame hawez thubutu kufanya ujinga km huo.

Kwanza juzi juz tuu hapa aliitwa ili awekwe sawa juu ya kumchokonoa kaka yake wa UG na akazuga kwa kuja kwa ajili ya ziara ya siku kadhaa then mambo yakarudi katika msitari hadi hv sasa. Km kweli angekuwa na ubavu huo mnao-usema si angegoma kuja kupokea onyo maridhawa hapa TZ?
 
Kagame hawez thubutu kufanya ujinga km huo.

Kwanza juzi juz tuu hapa aliitwa ili awekwe sawa juu ya kumchokonoa kaka yake wa UG na akazuga kwa kuja kwa ajili ya ziara ya siku kadhaa then mambo yakarudi katika msitari hadi hv sasa. Km kweli angekuwa na ubavu huo mnao-usema si angegoma kuja kupokea onyo maridhawa hapa TZ?
Bwana Jerry umenena vema kabisa, lakini pia tusisahau kuwa mzahamzaha mbuzi kampanda mamaye.

Zana zetu za kivita ni za miaka ile ya enzi za Mwalimu, na kwa awmau zote 4 zilizo pita, jeshi letu halijanolewa barabara kwa zana zinazoendana na wakati tulionao, wasaka tonge wenye kujali maisha yao walikuwa wengi,

Mfano mzuri ukienda maeneo ya Ngerengere na Chalinze sehemu ambazo wanafanyia sana mazoezi ya Anga ya kijeshi wanatumia MIG 25 za miaka ya 1976 Hizi ni ndege za kirusi, pia kila mwaka tulikuwa tuna zalisha washika bunduki huko Kwenye kambi zetu za JKT , sasa hivi hakuna tena ujue hizo ni gharama tulikuwa tuna tumia,
Wakati Rwanda wana mfumo wetu wa zamani JKT pia wana miliki Super Arrow Drone interceptors za kutosha, Military Spy satellites, kumi na tano,nyingine wamerusha hivi majuzi tu, bongo hatuna hata moja hapo ni mfano mdogo tu... wale walotushauri tuvunje JKT eti kupunguza matumizi ya serikali na ili tupate misaada ndo walituua kabisaaa,

halafu kupitia Nyerere front line state chairman, walijua hapo mwanzo tulivojipanga kijeshi, sasa ili watukomeshe wakatuua kisaikolojia kwa njia ya misaada. hivi sasa wanajua nguvu yetu ya kujidai haipo imara kama mwanzo, ndo wana mpatia Kagame kiburi cha kusema hovyo
 
Mfano mzuri ukienda maeneo ya Ngerengere na Chalinze sehemu ambazo wanafanyia sana mazoezi ya Anga ya kijeshi wanatumia MIG 25 za miaka ya 1976 Hizi ni ndege za kirusi,
Ndege za zamani ni nzuri kujifunzia urubani kwa kuwa kila kitu manual.
wale walotushauri tuvunje JKT eti kupunguza matumizi ya serikali na ili tupate misaada ndo walituua kabisaaa,
Nani hao walioshauri?
 
Yaani were ni kipofu kuona kwamba wanannchi walio wengi hawaridhiki na utawala wa Magufuli? Tafiti zimeonesha hivyo na kumfanya ataharuki na kuwaadhibu waliotangaza matokeo ya tafiti hizo zikionesha hana wananchi wengi wanaomuunga mkono kwa jinsi anavyotawala!! Wewe wa namna yaks mko wachache sana.
Wewe unajadili kisiasa za ndani hivi, utaungana na rwnda pekeako
 
Ndege za zamani ni nzuri kujifunzia urubani kwa kuwa kila kitu manual.

Nani hao walioshauri?
Plane Manual Operating system are completely out dated in a modern World!

Ndo maana nasema utapigana sawa ila kizamani, on so doing you can idiotically, smartly, perish in the battle

Mwenzako Kagame anafanya ki-digitali zaidi.. tena ana battle field controlers akiwa amekaa Kigali.
wewe huku unatoka majasho ikitokea umeteketeza Drones kumi siyo watu kumi tena, ni maplastiki na vyuma tu umeteketeza tena basi mabaki hayo ni valuable assets kwa Rwanda militarism strategy. meaning that yanakuwa na kazi nyingine palepale yalipo in concealed mode of ESPIONAGE SPY ANTENNAE wewe kwa akili ya ki -manual mkuu hutajua kazi yake ni ipi hasa.

zaidi utayakusanya na kujiwekea kumbukumbu.

Ikitokea umeziteketeza hizo Drones kumi. ''Skills ( kwa maana ya Rwandan military human resources) inabaki km ilivyo''. tena anaweza akakuletea maksudi kwa kujifanya zimekuja kizembe zembe(kujizembesha). ili uzitungue kumbe zina conspirator sensors.

Unadhani mr stone na ujanja woote ule hajui?
 
Plane Manual Operating system are completely out dated in a modern World!

Ndo maana nasema utapigana sawa ila kizamani, on so doing you can idiotically, smartly, perish in the battle

Mwenzako Kagame anafanya ki-digitali zaidi.. tena ana battle field controlers akiwa amekaa Kigali.
wewe huku unatoka majasho ikitokea umeteketeza Drones kumi siyo watu kumi tena, ni maplastiki na vyuma tu umeteketeza tena basi mabaki hayo ni valuable assets kwa Rwanda militarism strategy. meaning that yanakuwa na kazi nyingine palepale yalipo in concealed mode of ESPIONAGE SPY ANTENNAE wewe kwa akili ya ki -manual mkuu hutajua kazi yake ni ipi hasa.

zaidi utayakusanya na kujiwekea kumbukumbu.

Ikitokea umeziteketeza hizo Drones kumi. ''Skills ( kwa maana ya Rwandan military human resources) inabaki km ilivyo''. tena anaweza akakuletea maksudi kwa kujifanya zimekuja kizembe zembe(kujizembesha). ili uzitungue kumbe zina conspirator sensors.

Unadhani mr stone na ujanja woote ule hajui?
Africa nzima nchi zenye drone matata zaidi za kijeshi ni
Egypt
Angola
Nigeria
Algeria
Tanzania
Pia Ukanda huu ni Tanzania pekee yenye mizinga bora zaidi

Note
Drone haziwezi kubeba kombora kubwa
 
Plane Manual Operating system are completely out dated in a modern World!

Ndo maana nasema utapigana sawa ila kizamani, on so doing you can idiotically, smartly, perish in the battle

Mwenzako Kagame anafanya ki-digitali zaidi.. tena ana battle field controlers akiwa amekaa Kigali.
wewe huku unatoka majasho ikitokea umeteketeza Drones kumi siyo watu kumi tena, ni maplastiki na vyuma tu umeteketeza tena basi mabaki hayo ni valuable assets kwa Rwanda militarism strategy. meaning that yanakuwa na kazi nyingine palepale yalipo in concealed mode of ESPIONAGE SPY ANTENNAE wewe kwa akili ya ki -manual mkuu hutajua kazi yake ni ipi hasa.

zaidi utayakusanya na kujiwekea kumbukumbu.

Ikitokea umeziteketeza hizo Drones kumi. ''Skills ( kwa maana ya Rwandan military human resources) inabaki km ilivyo''. tena anaweza akakuletea maksudi kwa kujifanya zimekuja kizembe zembe(kujizembesha). ili uzitungue kumbe zina conspirator sensors.

Unadhani mr stone na ujanja woote ule hajui?
Nilichotaka kusema ni kuwa ndege za zamani ni... kama kujifunza kuendesha gari yenye "manual gear" na isiyo na "hydraulic steering mechanism", inakufanya unaelewa hasa nini kinafanyika unapobadilisha gia kuliko mtu aliyejifunzia gari yenye "automatic transmission". Huyo pilot aliyejifunzia ndege ya zamani ndege ambayo kila kitu ni manual, ndege mpya haita msumbua kwa kuwa anajua hasa nini kinatokea "manually" akiponyeza kitufe. Kwenye vita mengi hutokea, watu wanaweza "jam electronic system" za ndege wewe kama hujui kuiendesha kwenye manual mode ndo umekwisha.

Kuhusu hivyo vitoi vya Kagame nani ka kwambia hatuna mitambo ya kuijam. Hivyo vitoi tunavi "hack" na kuvishusha taratibu bila shida. Hivi unajua hata mkuu wetu wa usalama hayo madudu ya teknolojia yeye ndiyo mkate wake wa kila siku? Kama Msafara tuu wa Rais una limtambo bab kubwa, Jeshi wanashindwaje kuwa na mfumo huo? Kama tuna rada mpya nne za ndege za kiraia, unafikiri jeshi halina?
 
Nilichotaka kusema ni kuwa ndege za zamani ni... kama kujifunza kuendesha gari yenye "manual gear" na isiyo na "hydraulic steering mechanism", inakufanya unaelewa hasa nini kinafanyika unapobadilisha gia kuliko mtu aliyejifunzia gari yenye "automatic transmission". Huyo pilot aliyejifunzia ndege ya zamani ndege ambayo kila kitu ni manual, ndege mpya haita msumbua kwa kuwa anajua hasa nini kinatokea "manually" akiponyeza kitufe. Kwenye vita mengi hutokea, watu wanaweza "jam electronic system" za ndege wewe kama hujui kuiendesha kwenye manual mode ndo umekwisha.

Kuhusu hivyo vitoi vya Kagame nani ka kwambia hatuna mitambo ya kuijam. Hivyo vitoi tunavi hack" na kuvishusha taratibu bila shida. Hivi unajua hata mkuu wetu wa usalama hayo madudu ya teknolojia yeye ndiyo mkate wake wa kila siku? Kama Msafara tuu wa Rais una limtambo bab kubwa, Jeshi wanashindwaje kuwa na mfumo huo. Kama tuna rada mpya nne za ndege za kiraia, unafikiri jeshi halina?
aaaah! haaaaa! mkuu umechapia vitoy vya Kagame?
 
Bwana Jerry umenena vema kabisa, lakini pia tusisahau kuwa mzahamzaha mbuzi kampanda mamaye.

Zana zetu za kivita ni za miaka ile ya enzi za Mwalimu, na kwa awmau zote 4 zilizo pita, jeshi letu halijanolewa barabara kwa zana zinazoendana na wakati tulionao, wasaka tonge wenye kujali maisha yao walikuwa wengi,

Mfano mzuri ukienda maeneo ya Ngerengere na Chalinze sehemu ambazo wanafanyia sana mazoezi ya Anga ya kijeshi wanatumia MIG 25 za miaka ya 1976 Hizi ni ndege za kirusi, pia kila mwaka tulikuwa tuna zalisha washika bunduki huko Kwenye kambi zetu za JKT , sasa hivi hakuna tena ujue hizo ni gharama tulikuwa tuna tumia,
Wakati Rwanda wana mfumo wetu wa zamani JKT pia wana miliki Super Arrow Drone interceptors za kutosha, Military Spy satellites, kumi na tano,nyingine wamerusha hivi majuzi tu, bongo hatuna hata moja hapo ni mfano mdogo tu... wale walotushauri tuvunje JKT eti kupunguza matumizi ya serikali na ili tupate misaada ndo walituua kabisaaa,

halafu kupitia Nyerere front line state chairman, walijua hapo mwanzo tulivojipanga kijeshi, sasa ili watukomeshe wakatuua kisaikolojia kwa njia ya misaada. hivi sasa wanajua nguvu yetu ya kujidai haipo imara kama mwanzo, ndo wana mpatia Kagame kiburi cha kusema hovyo
Mkuu umeelezea vizuri ila kuna baadhi ya maeneo ambayo nadhani labda ni kutokana na watu waliokujuza umeshindwa kuyaelezea km yalivyo na matokeo yake umeyaelezea ktk hali ya kinyume. Suala pekee la wewe kujua kwa sasa ni kwamba taifa bado linathamini suala la ulinzi na kamwe haliwez puuzwa na taifa lolote lile, hata hv sasa wapo wanajeshi wa TZ maeneo mbalimbali ya dunia wakiendelea kuongeza ujuzi.
 
Back
Top Bottom