KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK

live talk

New Member
Nov 12, 2016
4
3
Katika mazingira ya kawaidaa kama kichwa kinavyojieleza hapo juu kuwa king of all social media network ni kwamba ww upo katika mitandao kadhaa na unahusika kuwa active. Kutokana na uking wako hii ni kama mfano kuwa katika mitandao hii
Instagram
Facebook
Jamiiforum
Twitter
Telegram
Snapchart
Nk

Sasa unapo kuwa wewe ni king unatakiwa uwepo sehemu mbalimbali na unakuwa active member sasa kuna mtu kama Le mutuz anajiita kuwa ni king wa media network zote ,,mimi nacheka sanaa maana kuna baadhi ya maneno anadai humu jamiiforum hayupo sana saa hz kwa sababu watoto wamezid na hakuna mada nzur kama za zaman nikaangalia uchangiaji wake ni hafifu sana kwa mtu ambaye yupo toka zaman jamii forum na kujiita ni mwanzilishi ,huyo huyo king hata facebook hayupo yeye yupo sana instagram kwa kupga picha na mabebez

Kwa sasa sijamuona king wa all social bongo network ambaye yupo mitandao mbali mbali na anafiti ila mdogo wangu le mutuz jiite tu KINGI OF INSTAGRAM MEDIA NETWORK maana hata twitter haupo active au kwa kuwa picha kutuma ni kazi sana kulee huku. Jamii forum mpaka madogo wa makapuku forum wamekupita uchangiaji kabisa
Screenshot_20161225-221312.png
Screenshot_20161225-221234.png
Screenshot_20161225-220639.png
katika maisha ni bora kuishi real life kuliko fake life kuumbukaa ni. Ukiwa mgonjwa au mauti
Screenshot_20161225-220639.png
Screenshot_20161225-220233.png
 
Hii mada haieleweki, maelezo meeengi lakini sijui unataka kutuambia nini? Anyway, tuma salamu kwa watu watatu.
 
Kwa sisi wenye akili timamu, hapa kuna kilicho jificha nyuma ya maandishi ya mleta uzi.
Ebu funguka zaidi mkuu
 
Dada umefungua akaunti kumshambulia Le Mutuz tu.
Anajiita king of all social media in Tanzania ,sio kwa sababu ya kupost au kuwa na followers wengi.
Le Mutuz anatumia social media kupiga pesa,tofauti na mtu mwenye 2.8m followers lakini hana nyumba ya kukaa
Le Mutuz anapata matangazo mazito ya biashara yakiwemo voda na Dstv,ambayo yanamtosha kuendeshea maisha yake hapa mjini
 
Katika mazingira ya kawaidaa kama kichwa kinavyojieleza hapo juu kuwa king of all social media network ni kwamba ww upo katika mitandao kadhaa na unahusika kuwa active. Kutokana na uking wako hii ni kama mfano kuwa katika mitandao hii
Instagram
Facebook
Jamiiforum
Twitter
Telegram
Snapchart
Nk

Sasa unapo kuwa wewe ni king unatakiwa uwepo sehemu mbalimbali na unakuwa active member sasa kuna mtu kama Le mutuz anajiita kuwa ni king wa media network zote ,,mimi nacheka sanaa maana kuna baadhi ya maneno anadai humu jamiiforum hayupo sana saa hz kwa sababu watoto wamezid na hakuna mada nzur kama za zaman nikaangalia uchangiaji wake ni hafifu sana kwa mtu ambaye yupo toka zaman jamii forum na kujiita ni mwanzilishi ,huyo huyo king hata facebook hayupo yeye yupo sana instagram kwa kupga picha na mabebez

Kwa sasa sijamuona king wa all social bongo network ambaye yupo mitandao mbali mbali na anafiti ila mdogo wangu le mutuz jiite tu KINGI OF INSTAGRAM MEDIA NETWORK maana hata twitter haupo active au kwa kuwa picha kutuma ni kazi sana kulee huku. Jamii forum mpaka madogo wa makapuku forum wamekupita uchangiaji kabisaView attachment 450308View attachment 450309View attachment 450310katika maisha ni bora kuishi real life kuliko fake life kuumbukaa ni. Ukiwa mgonjwa au mautiView attachment 450315 View attachment 450311
Haya mambo ya le mutuz mwachie MSAGA SUMU we naona una jikanyaga kanyaga hueleweki kabisa point yako....
 
haya mambo ya le mutuz mwachie MSAGA SUMU ,we sijui umeandika sijui ukiwa vyuma tayari.....teh teh mambo ya sikukuu na vituko vyake...
 
Back
Top Bottom