zee_latown
Member
- Feb 21, 2026
- 73
- 151
Kama hiki kitu wanaita reincarnation ni real,, basi ni dhahiri kuwa huyu mfalme daudi wa kwenye vitabu vitakatifu anaisi ndani ya taikon wa fasihi ndugu robert heriel... nimemfuatilia sio sana and i don know him that much. hoja hii inalala kwenye misingi ifuatayo:
UJASIRI
the dude is super bold. anajiamini na anjua nini anafanya... to prove that avatar ameweka picha yake halisi... huu ni ujasiri kama ule alionao daudi wa kujikubali
UJANJA UJANJA NA UJASUSI
king david kwa nilivyomsoma alikuwa na asili fulani ya kujipenyeza penyeza (infiltration), na ujanja ujanja mwingine jumlisha usiri usiri
KANUNI NA MASHARTI
king david alikuwa ni mtu wakanuni kanuni hivi... ni mjanja mjanja na thats why alimu ektia Akishi na akaaminika.... ni bingwa la ku play victim. pia alimpa sharti Abneri la kwamba ili wapatane basi ni sharti aende pamoja na mke wake Mikali.
KUPENDA PISI KALI
daudi wanawake wengi alioa walikuwa wazuri. mtibeli amesema humu mara kadhaa kuwa hatoki na pisi mbovu... anajiamini na anajua anachokisema.
huenda hata mtibeli mwenyewe anafanya haya bila kujua anatembea mule mule kwenye nyayo za King david... hii kitu ya reincarnation ni real sana. Mshana Jr mambo yako haya
USIRI mtibeli ni mtu wa kupoteza sana watu maboya, anajua kuchezea feelings za wengi humu... just like the way king david did. mtibeli ni msiri msiri hivi kwa msiomfuatilia btn lines... david pia alikuwa the same. alidiriki mpaka kumdanganya yule priest ili apate upanga wa Goliath.
Kuna similarities nyingi sana kati ya watu hawa, nyingi sana.
huenda hii reincarnation ni real na King david's soul inaishi ndani ya Robert Heriel mtibeli.
NB
ni jukwaa huru hili, na huu ni mtazamo binafsi.
No malice to any body
UJASIRI
the dude is super bold. anajiamini na anjua nini anafanya... to prove that avatar ameweka picha yake halisi... huu ni ujasiri kama ule alionao daudi wa kujikubali
UJANJA UJANJA NA UJASUSI
king david kwa nilivyomsoma alikuwa na asili fulani ya kujipenyeza penyeza (infiltration), na ujanja ujanja mwingine jumlisha usiri usiri
KANUNI NA MASHARTI
king david alikuwa ni mtu wakanuni kanuni hivi... ni mjanja mjanja na thats why alimu ektia Akishi na akaaminika.... ni bingwa la ku play victim. pia alimpa sharti Abneri la kwamba ili wapatane basi ni sharti aende pamoja na mke wake Mikali.
KUPENDA PISI KALI
daudi wanawake wengi alioa walikuwa wazuri. mtibeli amesema humu mara kadhaa kuwa hatoki na pisi mbovu... anajiamini na anajua anachokisema.
huenda hata mtibeli mwenyewe anafanya haya bila kujua anatembea mule mule kwenye nyayo za King david... hii kitu ya reincarnation ni real sana. Mshana Jr mambo yako haya
USIRI mtibeli ni mtu wa kupoteza sana watu maboya, anajua kuchezea feelings za wengi humu... just like the way king david did. mtibeli ni msiri msiri hivi kwa msiomfuatilia btn lines... david pia alikuwa the same. alidiriki mpaka kumdanganya yule priest ili apate upanga wa Goliath.
Kuna similarities nyingi sana kati ya watu hawa, nyingi sana.
huenda hii reincarnation ni real na King david's soul inaishi ndani ya Robert Heriel mtibeli.
NB
ni jukwaa huru hili, na huu ni mtazamo binafsi.
No malice to any body