King crazy gk

N'take radhi mpwa mimi sina kabisa laini hiyo.

Ha ha ha,

alisema none of the above, nikajua hata wewe ni none of the above kumbe uko within. Nikajua kamchagua mzee wa kuji express. Kumbe wewe du! samahani comrade na hongera.
 
Ha ha ha,

alisema none of the above, nikajua hata wewe ni none of the above kumbe uko within. Nikajua kamchagua mzee wa kuji express. Kumbe wewe du! samahani comrade na hongera.

Hahahaha wote mmeliwa mzee wa kujinafasi na bembea
 

Don't take it personal man!
 
His style was a problem, hana vina plus mistari myepesi sanaaaa.


hatujasikia mashairi yako yenye Viina mzee, usikatishe watu tamaa, jamaa anapafomu vizuri tu na kama wewe unaona hayana viina si wewe mzee, acha unafiki huo.

na hiyo picha ya mtu aliye kufa----------mzee you aint be a realistic nigga kama huwezi kukubali wengine wakifanyacho
 
Okey nakutakia maisha marefu na huyo mtumia simu ya tigo. Thanks for being honest.

nafanya maombi, ntakayefunuliwa na Mungu ndo huyo huyo!!! huyo unayemrrefer hapa sijui nani
 
Mpwa ha ha haaa, kama ni kufa kila mtu afe na kifo chake,
Tusije kufa uniform death ka wale wa Chake Chake,
Anapenda mikate, wewe utampa mate,
Haa haa haaa, nimekumbuka ule wimbo wake wa 'NITAKUFAJE', na kweli alitabiri kifo chake, ingawa sasa ni kifo cha mistari. Nadhani sasa amepata jibu kuwa amekufaje!
 
Nilipenda sana nyimbo ya huyu Kijana ya "Sister sister" Hatuna sababu ya kumzungumzia vibaya , Maisha ni kupanda na kushuka ,kila mtu ana mipango yake ya maisha. Tujifunze kusaidiana na si kupondana.
 
Hahahaha wote mmeliwa mzee wa kujinafasi na bembea

na we usijisahau hapa kule kwa masa ulisema unawachukia wanawake.....dont try my patience Fidel
 
Haa haa haaa, nimekumbuka ule wimbo wake wa 'NITAKUFAJE', na kweli alitabiri kifo chake, ingawa sasa ni kifo cha mistari. Nadhani sasa amepata jibu kuwa amekufaje!

we ulijidanganya pande hii hamna great thinkers....umeisoma hiii???
 

That was my view, Afande Sele nae mnafiki au???

By the way what's wron with the picture? Does it bother you?
 
Haa haa haaa, nimekumbuka ule wimbo wake wa 'NITAKUFAJE', na kweli alitabiri kifo chake, ingawa sasa ni kifo cha mistari. Nadhani sasa amepata jibu kuwa amekufaje!

Nikisema Kabuche nininini sijui ananiita mnafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…