KINANA: Urais wa Samia sio wa Kikatiba, amepatikana kwa Uchaguzi

Asali ukiramba sana inakuparia ssa yye amesha changanyikiwa na utamu tuseme mzeee kazeheka mpka anatapikaalichoramba?
 
Asali kurba
 
Wewe ndo usompenda kwa chuki zako binafsi.
But haikusaidii kitu sana sana wajizeesha tu, she's there as our President hutaki hama nchi
 
Wewe ndo usompenda kwa chuki zako binafsi.
But haikusaidii kitu sana sana wajizeesha tu, she's there as our President hutaki hama nchi
Unafikiri Kwa kutumia kwato badala ya Misuli ya Kichwa. Mimi nimchukie kwani Ndio kwamba Ni Demu kaniacha? Hebu tuwekee hapa Utafiti wa kuonyesha mama anakubalika hapa Nchini? Hebu tusaidie Toka mama ashike madaraka umeona ameshaonana na Kiongozi gani Duniani Mwenye ushawishi? Nakupa huo mfano tu utoshe kukuonyesha kuwa sio watanzania tu wasiomuona mama kuwa ni Kichwa Bali hata wa huko Duniani.
 
Ni wajinga na wapuuzi wanaosema hajapatikana kwa Katiba wakati wanafahamu kabisa kwamba amezunguka Nchi hii kama mgombea mwenza wa Rais kutafuta kura..

At least wanaosema awamu ya 5 Sio ya sita unaweza waelewa but all in all huu ndio ukweli..
 
Kama yeye yalivyo mawazo yake na wenye kauli pia hayo ni mawazo yao, na kama wenye kauli nao ni wapiga kura huwezi kuwapangia / kuwachaguliwa walipiga kura kuchagua nani au nini....

Huu muda wangetumia vema kutatua changamoto wala wasingepata tabu ya as the saying goes "Put Lipstick on you know What".....
 
Mfano mwingine hai. Dr. Mpango hajapigiwa kura na wananchi. Hivyo hawezi kuwa Rais endapo kutatokea vacancy kwa namna yoyote ile.

Ila SSH ni sawa maana alipita Tanzania nzima kuomba kura.
Nadhan katiba haimzuii Mpango ku ascend kwenye power kama ikitokea incapacitation yoyote...Kinana yuko kazini, na kayasema aliyoyasema kwenye viunga vya nyumbani na shughuli yenyewe ilikua ndo haswa sehemu ya kupakana mafuta...ila kwa katiba yetu ilivyo...Kazi namba moja ya makamu wa RAIS ni kuwa back up ya RAIS..na ndio maana RAIS akiteua Makamu kama ilivyotokea kwa Mpango...Bunge kwa niaba ya wananchi wanatakiwa wamdhibitishe/ wampigie Kura..
 
Akili KUBWA PEKEE ndio itamwelewa kinana!

"Ukiona mkeo anakwambia KWA wewe ndio Baba wa Familia ujue kuna Baba Mwingine yupo"

Kauli ya kinana inahalalisha Jambo FULANI kutokea!kwamba kuna watu au kundi litajitokeza au tayari linasema mama sio chaguo ni bahati mbaya tu amepata urais!!



Mama atapigwa tukio Hadi atashangaa!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Kinana unajua kuwa wale traffic wako hawajapunguzwa barabarani kutokana na siasa zako !!!
 
Katiba mbovu na hatari sana!!makamu anaweza shiriki njama za kumuua aliyeko madarakani ili achukue kijiti
Mfano mwingine hai. Dr. Mpango hajapigiwa kura na wananchi. Hivyo hawezi kuwa Rais endapo kutatokea vacancy kwa namna yoyote ile.

Ila SSH ni sawa maana alipita Tanzania nzima kuomba kura.
 
Uchaguzi upi?

Tukiacha mbambambaaa wakaweka mambo sawa ndani ya chama kugombea nafasi ya ugombea urais akawashinda wote kama Shujaa hapo tutaita uchaguzi akaingia barabarani kuomba kura
 
Nani alimpigia kura Magufuli kwa wingi? Wacha uwongo wa mchana. Magufuli alimshinda Lowasssa mwaka 2015 kwa wizi wa kura za kupitia kituo cha Masaki. Muulize Medestus Kapilimba, Kinana na Januari.

Mwaka 2020 aliammua kuziiba kura zote mwenyewe Magufuli kwa kutiki makaratasi kutokea Jamana Printers na Kambi ya Mbweni Kisha ma DSO na DED wakagawiwa makatasi yaliyopigwa. Zile kura tulizopiga wananchi hazikuhesabiwa.

Dhana ya kwamba Magufuli alikuwa anapendwa ni UWONGO, kadanganye wanao au wajinga wenzio
 
Yaani anampiga jiwe halafu anampamba. What is politics?
 
Mfano mwingine hai. Dr. Mpango hajapigiwa kura na wananchi. Hivyo hawezi kuwa Rais endapo kutatokea vacancy kwa namna yoyote ile.

Ila SSH ni sawa maana alipita Tanzania nzima kuomba kura.
Hivi ulikuwa unaona mikutano yake.? Ulikuwa huwezi hata kuifatilia.
 
Nadhani watu hawajui maana ya Mgombea mwenza na Vice President kwa nchi zenye mfumo kama wetu.Vice President hayupo tu kumsaidia Rais mawazo Bali ni kuchukua majukumu Rais akitoka.Ukisema akapigiwe kura Tena ni ujuha wa katiba na sheria.Tulishajiwekea huo utaratibu wa wote kupigiwa kura kwa Pamoja sasa ya Nini turudi kupiga kura wakati utaratibu unajulikana.
 
Ni wajinga na wapuuzi wanaosema hajapatikana kwa Katiba wakati wanafahamu kabisa kwamba amezunguka Nchi hii kama mgombea mwenza wa Rais kutafuta kura..

At least wanaosema awamu ya 5 Sio ya sita unaweza waelewa but all in all huu ndio ukweli..
Awamu zinatokana na Rais aliyeko madarakani huwezi SEMA awamu ya Tano wakati Samia ni Rais wa Sita.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…