Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Kwani Mhariri Mkuu si mtu wenu? Anaitwa Kibanda na ni kibaraka mkuu wa Kinana.Kwa hiyo ukiona habari hii imepitishwa na kibaraka wa Kinana iandikwe ni lazima iwe kweli 100%
Kibanda hayuko tena pale T.daima - jana aliripoti New Habari! Ni Ngurumo huyo -- Kamanda mkubwa wa CDM ndani ya waandishi na Mbunge mtarajiwa!