Kinana alazwa Dubai, hali yake si nzuri

Kinana alazwa Dubai, hali yake si nzuri

Super H

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
1,070
Reaction score
405
Taarifa nilokuwa nayo hapa ni kwamba Abrahman Kinana amelazwa hapa hospitali ya Rashidia hapa Dubai na hali yake sio nzuri sana.
 
Safari ya China Dili lilikataa sasa mnafikiri asipate presha mchezo .......
 
Naamini kila mmoja ameshawahi kuugua. Hakuna binadamu asiye ugua lakini wapo viumbe wasiougua. Mwenyeezi Mungu amponye !!
 
Mbona anaendelea vizuri tuu wala sio Kama unavyoelezea...rashidiyah kuna hospital au unakusudia Rashid Hospital? Kama ni hiyo sio kweli hayuko hapo... Nenda kapate habari kamili urejee tena.....
 
Jamanii hiyo roho mbaya hivyo inatoka wapi? Kinana naye ni mtu hata kama simpendi lakini akifa itanisaidia nini miye?? Natamani aishi miaka mingi zaidi awaone UKAWA wakipewa Ikulu 2015. Ndipo stroke impate akiona kwa macho yake. Ndipo aamriwe kuzirudisha nchini pesa zoote alizoweka huko Dubai na kwingineko. Tununulie madeski ya wanetu hapo Manerumango kwa yule mbunge mwindaji Mahalimaaa. Anayekwenda Morogoro na kujichukulia vijimwana na kuibiwa madolari chumbani huku akivuta maji ya bieeer na kanzu bila hofu.
Acha ccm wapumzike kwa amani 2015 si mbali. Ee Mwenyezi Mungu, mlinde Kinana Abdulrahaman asife kabla hajaona kyama kyake kikifa chenyewe.
 
Safari ya China Dili lilikataa sasa mnafikiri asipate presha mchezo .......

Amefirisika nini? Manake hata kigoma malima senior alikufa kwa pressure. Baada ya kukuta account ni zero. Ukiabudu pesa mwisho wako ni huo.
 
Atakuwa na presha ya aliyoyasikia Ubungo Plaza kutoka kwa Warioba
 
Amemaliza hela za serikali kwa ziara zisizo na tija mpaka serikali imekopa MSD na sasa dawa hazipatikani muhimbili halafu yeye anaenda kutibiwa nje ya nchi, ajue tu siku ikifika atakufa na atazikwa sawa na maskini.
 
Mbona anaendelea vizuri tuu wala sio Kama unavyoelezea...rashidiyah kuna hospital au unakusudia Rashid Hospital? Kama ni hiyo sio kweli hayuko hapo... Nenda kapate habari kamili urejee tena.....

Mheshimiwa Kinana ametuwa Dar jana na ni mzima wa Afya Tafadhali waulizeni uhamiaji, KM yuko kwake na kesho mtamuona officini kwake. mode fungal huu uzi wenye shari.
 
Tumwombee baba wa watu maana amepelekwa mbio na M4C
Wakati umri umekwenda,akikuta wananchi wanalima, analima,akikuta wanaezeka anapanda juu kwenye paa,akikuta wanafyatua tofari yumo,akikuta wanaoilaumu serikali ya chama cha mapinduzi naye yumo,
saasa asiumwe?
Hapa ni kumwombea tu,Mungu amsaidie arudi aendelee kutembelea wananchi Tanzania nzima.
 
Amemaliza hela za serikali kwa ziara zisizo na tija mpaka serikali imekopa MSD na sasa dawa hazipatikani muhimbili halafu yeye anaenda kutibiwa nje ya nchi, ajue tu siku ikifika atakufa na atazikwa sawa na maskini.

Nafikiri hii ndio sababu ya wachangia uzi kutoa michango ya kiaina. Tupo hapa tulipo ktk michango hii kwa sababu ya udhaifu wa jk na ccm yake.
 
Back
Top Bottom