Duniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.
Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.
Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?
The next Hollace Kolimba in speech?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Jangili amvuruge nani hapa?ajiandae tu kunyolewa kile kipara na chupa....Kinana anaivuruga sana chadema, hawalali wanamuota
Duniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.
Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.
Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?
The next Hollace Kolimba in speech?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Duniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.
Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.
Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?
The next Hollace Kolimba in speech?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Misimamo kama hii ndiyo itakayofanya Vyama vya Upinzani viendelee kuwa na "hasira" ya kutokuchukua Nchi kwa muda mrefu,kwa sababu hizi ni "propaganda" zinazowafanya wapiganaji wa upinzaniwajiamini sana kwamba wameshinda,wakati ukweli ni kwamba CCM wako field,na wanafanya Kazi.....
Mi naona kama Kinana anashurutishwa tu kufanya hiyo kazi, hotuba zake zote huwa haziendani na matendo ya viongozi wote wa serikali ya ccm kuanzia kwa wafagiaji mahofisini mpaka kwa Rais.
Kazi yenyewe hii inamsababishia watu kuvuatilia biashara zake na kutoa matamko ya ajabu ajabu yanayomchafulia jina na sifa yake ndani na nje ya nchi.
Utendaji kazi wake wote unatoa picha kwamba kuna uwezekano mkubwa yuko blackmailed, anafanya kazi ambayo anajua hailipi, laiti mngejua ni maneno gani aliyasema akiwa kwenye kikao fulani hivi karibuni, mngebaki mdomo wazi.
Huwa magamba hawaeleweki leo anaongea hiv kesho vile.
Duniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.
Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.
Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?
The next Hollace Kolimba in speech?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Jamani, kama wao wenyewe wametambua kasoro zao na wameamua kuwa wakweli sidhani kama ni vibaya. Mlitaka aseme uongo?
Aliyasema hayo kumfurahisha Deo Filikunjombe. Kumbuka alikuwa Ludewa na Ludewa kuna mgodi wa makaa ya mawe. Filkunjombe huwa hana huo "UPOPO" wa CCM aliogopa angeweza kumlipua hapo jukwaani LIVE.
Kama anajua hivyo kwanini basi asiishauri SERIKALI ikae na Wananchi wa Mtwara kuhusu suala la gesi?
Duniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.
Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.
Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?
The next Hollace Kolimba in speech?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Duniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.
Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.
Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?
The next Hollace Kolimba in speech?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam