Kinana aivua nguo Serikali ya CCM!

Kinana aivua nguo Serikali ya CCM!

Nguzo kuu ya SIASA ni UNAFIKI

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kinana ni binadamu ana uhuru wa kutoa maoni kama mtanzania wa kawaida...pia yeye anaisimamia serikali sio sehemu ya serikali kwa hiyo ni sahihi kuikosoa serikali
 
Atoke vipi sasa? na atmosphere ndo hiyo imebana kotekote. Advance party watakuwa wamemwambia pengine akisema hivyo ingalau watu watakaa na japo wamsikilize kwa dakika kadhaa mkutanoni. Tutarajie hotuba za namna hiyo zaidi ikiwa njia ya kuwafanya watu japo wakae mkutanoni. Meseji hasa kutoka CCM watakuwa wananyunyiza kwa mbaaaaali, katikati ya lugha za namna hii. That is politics

Misimamo kama hii ndiyo itakayofanya Vyama vya Upinzani viendelee kuwa na "hasira" ya kutokuchukua Nchi kwa muda mrefu,kwa sababu hizi ni "propaganda" zinazowafanya wapiganaji wa upinzaniwajiamini sana kwamba wameshinda,wakati ukweli ni kwamba CCM wako field,na wanafanya Kazi.....
 
Ah gamba ni gamba tu , ni wazee wa kupima upepo na kuweka mambo sana, sioni cha ajabu hapa......
 
Alilenga kupata umaarufu tu kwa watu
 
je, alizungumzia yeye kuhusika na u-dentist wa ngi-nanaz...???!!
 
Duniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.


Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.


Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?


The next Hollace Kolimba in speech?


Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Yaani afadhari hata kinyonga tunamjuwa huwa anabadilika rangi,... Hawa vinyonga wa siri huwa wanabadilikia pabaya sana...... Ageanza yeye kuzungumzia tembo....
 
He is against it and before we forget his statements he will be in favor of it.They are typical CCM loose-cannons
 
Wakati bungeni CCM wanamnanga Filikunjombe yeye jana kamsifu kasema ni JEMBE
 
Hakuna mahali kinana ameiumbua serikali hapa, ni mbwembwe za mleta mada kuvutia wasomaji
 
Nguo gani ambazo serikali imevuliwa!. Sema mawazo na mtazamo wako ndiyo umevuliwa nguo.

Wewe ni Mwanasheria gani unayependa maneno na habari za Udaku udaku. Kwa mtaji huu, nina wasiwasi kama CHADEMA watakupa ticket ya kugombea ubunge kama unavyofikiria.

Moja ya tofauti ya mwanasheria na watu wa vijiweni ni uwezo wa kuchambua na kuchagua maneno.

Taaluma yako ya sheria unaidhalilisha.
 
Duniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.


Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.


Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?


The next Hollace Kolimba in speech?


Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Hata mimi nilimsikia kupitia ITV na Deo naye akakazia Viwanda vya makaa ya mawe na chuma vitajengwa hapa duh contradiction ya hali ya juu wanaamtwara wanaitwa magaidi kwa sababu bomba linatakiwa kwenda bagamoyo kulipa fadhili ya kutonyongwa mwana wa mfalme
 
Duniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.


Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.


Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?


The next Hollace Kolimba in speech?


Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
namna ya mkubwa kuomba msamaa kwa aliowakosea ni kuguna tu, hiyo ni dalili ya kuwaomba wananchi msamaha
 
Back
Top Bottom