Kichwa habari hakiendani na maelezo...umeiweka kichadema chadema mno
Huwa siwaelewi viongozi wetu.wapo kama vinyonga
Akiwa kama katibu amechukua hatua gani kukishauri chama?
Atoke vipi sasa? na atmosphere ndo hiyo imebana kotekote. Advance party watakuwa wamemwambia pengine akisema hivyo ingalau watu watakaa na japo wamsikilize kwa dakika kadhaa mkutanoni. Tutarajie hotuba za namna hiyo zaidi ikiwa njia ya kuwafanya watu japo wakae mkutanoni. Meseji hasa kutoka CCM watakuwa wananyunyiza kwa mbaaaaali, katikati ya lugha za namna hii. That is politics
Yaani afadhari hata kinyonga tunamjuwa huwa anabadilika rangi,... Hawa vinyonga wa siri huwa wanabadilikia pabaya sana...... Ageanza yeye kuzungumzia tembo....Duniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.
Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.
Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?
The next Hollace Kolimba in speech?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Huwa magamba hawaeleweki leo anaongea hiv kesho vile.
Duniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.
Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.
Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?
The next Hollace Kolimba in speech?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
namna ya mkubwa kuomba msamaa kwa aliowakosea ni kuguna tu, hiyo ni dalili ya kuwaomba wananchi msamahaDuniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.
Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.
Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?
The next Hollace Kolimba in speech?
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam