Kinana aivua nguo Serikali ya CCM!

Kinana aivua nguo Serikali ya CCM!

Duniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.


Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.


Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?


The next Hollace Kolimba in speech?


Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Hajaivua nguo bali kaongea ukweli. Kama serikali na chama chake vinakosea kwa nini asiseme? CCM si kama Chadema ambacho ukikosoa unavuliwa uanachama.
 
Duniani kuna vituko sana. Ni jana tu,Katibu Mkuu wa CCM Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana ameivua nguo Serikali ya chama cha Mapinduzi.


Akiwa ziarani mkoani Njombe,Kinana ameitaka Serikali izungungumze na wananchi wake kabla ya kuanzishwa kwa miradi ya maendeleo.Amedai kuwa Serikali ( tena ya CCM) haina utaratibu wa kuzungumza na wananchi wake na kusababisha kutokea kama yale ya Mtwara.


Waungwana,haya kweli ni maneno ya Kinana kuzungumza mbele ya wananchi? Alilenga kuwalaghai au kuidhalilisha Serikali? Nani atamwamini Kinana,mtu mwenye nafasi mujarabu wa kushauri vikaoni mambo kama haya kwa kuimarisha chama na Serikali ya chama chake?


The next Hollace Kolimba in speech?


Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
ndungu yangu mbona hueleweki ,sasa katibu mkuu anapo wakumbusha watendaji wa serikali kutangaza wanayo yatenda kama mabarabara ,maji kila kona,viwanda ndihivyo mtwala simu kila kona jamaani .mnataka afanyaje
acheni propanganda za kizushi....subilini 2090 CDM itakapo chukua nchi ndio mukae kimya si kwa chama dume CCM
 
... and this fellow down here too is yet but another blend of the cream of JF GREAT THINKERS emblem anyway!!!!!!!!

ndungu yangu mbona hueleweki ,sasa katibu mkuu anapo wakumbusha watendaji wa serikali kutangaza wanayo yatenda kama mabarabara ,maji kila kona,viwanda ndihivyo mtwala simu kila kona jamaani .mnataka afanyaje
acheni propanganda za kizushi....subilini 2090 CDM itakapo chukua nchi ndio mukae kimya si kwa chama dume CCM
 
wanabadilika kidogo kidogo...mwishoe atasema yoye na bado...anaogopa zomea zomea
 
Mkuu Sangarara, ili kulitendea haki hili Jukwaa "Where people dare to talk", ungetanabaisha hayo maneno aliyoyasema, ni ktk kikao gani na muktadha upi!!

Hakuna kinachofanyika ama kuzungumzwa sirini ambacho hakitajurikana, kuwa mvumilivu kila kitu kitakuwa wazi, cha msingi ni kwamba Kinana Mwenyewe amekata tamaa, haiamini serikali ya chama chake.
 
Back
Top Bottom