Ndugu wana jamvi kuna taarifa tajwa hapo juu ambazo ningependa kutoa ufafanuzi hapa.ndg Bryson Masinga aliwahi kuwa katibu wetu hadi tarehe 15.09.2013 alipoondolewa na Baraza la Mashauriano Mkoa wa Mbeya kwa makosa mbali mbali.tuhuma nyingi jana nilizitoa kwenye ukurasa wa facebook na kwa mantiki hiyo huyu si kiongozi wa chadema na alikuwa mwananchi wa kawaida tu.ushauri wa bure ni kwamba watu wawe wakweli kwa mambo ambayo mwisho wa siku yatafahamika.
Kwahiyo tufanyeje sisi????
chadema imekufa mapema kuliko muda aliotabiri wassira...
Hahaaaa mkuu utakua unaota ndoto za mchana wewe,sijawahi juta na wala sitojuta kwa uamuzi wangu wakurudi nyumbani ccm.
Mtajuta Nyie mnaokimbiwa na watu makini Kila iitwapo Leo,chadema inakufa kifo cha mende miguu juu.
Usicheze na shoka na nyundo.Huo mziki wa comrade kinana ni Amsha Amsha popooo(chadomo)mpaka 2015 .
Ndugu wana jamvi kuna taarifa tajwa hapo juu ambazo ningependa kutoa ufafanuzi hapa.ndg Bryson Masinga aliwahi kuwa katibu wetu hadi tarehe 15.09.2013 alipoondolewa na Baraza la Mashauriano Mkoa wa Mbeya kwa makosa mbali mbali.tuhuma nyingi jana nilizitoa kwenye ukurasa wa facebook na kwa mantiki hiyo huyu si kiongozi wa chadema na alikuwa mwananchi wa kawaida tu.ushauri wa bure ni kwamba watu wawe wakweli kwa mambo ambayo mwisho wa siku yatafahamika.
... Chama kinachosimamia uuzaji wa Nyara za serikali (ukifanywa na watu binafsi), kinacholinda mafisadi, wauza unga, na kinachong'oa meno na kucha za wazalendo kule mabwebande, chama kinachotuma askari kuua wazalendo kwenye mikutano ya vyama vya upinzani...Ridhiwani Kikwete
Wewe mzalendo unasubiri nini? Njoo kwenye Chama kinachokujali,kinachokutumikia na kinachoangalia mustakabali ya Uhuru wetu na Mshikamano kwa mapana..."
Kwahiyo tufanyeje sisi????
Kwahiyo tufanyeje sisi????
Kwahiyo tufanyeje sisi????
Muache kihere here maana mtaishia kudungwa MimbaKwahiyo tufanyeje sisi????
Muache kihere here maana mtaishia kudungwa Mimba....Kwahiyo tufanyeje sisi????