Kinana aitesa CHADEMA, avuna Katibu wao Chunya na wanachama zaidi ya 86

Ndugu wana jamvi kuna taarifa tajwa hapo juu ambazo ningependa kutoa ufafanuzi hapa.ndg Bryson Masinga aliwahi kuwa katibu wetu hadi tarehe 15.09.2013 alipoondolewa na Baraza la Mashauriano Mkoa wa Mbeya kwa makosa mbali mbali.tuhuma nyingi jana nilizitoa kwenye ukurasa wa facebook na kwa mantiki hiyo huyu si kiongozi wa chadema na alikuwa mwananchi wa kawaida tu.ushauri wa bure ni kwamba watu wawe wakweli kwa mambo ambayo mwisho wa siku yatafahamika.

Kaka CCM kuna hela ya wajinga, wajanja wanaichukua kirahisi mno. MaCCM hawafanyi hata uchunguzi, ukitaka kula hela yao kirahisi jifanye umetoka Chadema na ulikuwa kiongozi. Wajanja wengi kwasasa wamewafanya magamba mtaji.
 
Uzalendo umeupata wapi Riz karma sio unafiki. Pia no vema ukaendelea kununua wenye njaa ya tumbo maana maisha bora kwa kila mbongo baba kafeli na big results now imekuja na daraja la 5! Wewe mwenyewe uwakili wako haueleweki
 
chadema imekufa mapema kuliko muda aliotabiri wassira...

hujui siasa kijana vibaraka hata sa akina askofu muzolewa walishirikiana na makaburu kuwatesa na kuwauwa weusi, sasa mnachofanya kupandikiza mamluki tuko ahead of you guys siasa za kitoto
 
Uzalendo umeupata wapi Riz karma sio unafiki. Pia no vema ukaendelea kununua wenye njaa ya tumbo maana maisha bora kwa kila mbongo baba kafeli na big results now imekuja na daraja la 5! Wewe mwenyewe uwakili wako haueleweki
 
Hahaaaa mkuu utakua unaota ndoto za mchana wewe,sijawahi juta na wala sitojuta kwa uamuzi wangu wakurudi nyumbani ccm.
Mtajuta Nyie mnaokimbiwa na watu makini Kila iitwapo Leo,chadema inakufa kifo cha mende miguu juu.
Usicheze na shoka na nyundo.Huo mziki wa comrade kinana ni Amsha Amsha popooo(chadomo)mpaka 2015 .

Thank you kukubali wewe na akina mwapamba mlipandikizwa lakini cdm tuko imara na tutazidi kusafisha nyumba(jihadhari na akina kapuya)ndicho ulichobakiza huko wakuchezee, wakutumie halafu wakuzike kwa bendera za ccm pole kabinti
 
Ndugu wana jamvi kuna taarifa tajwa hapo juu ambazo ningependa kutoa ufafanuzi hapa.ndg Bryson Masinga aliwahi kuwa katibu wetu hadi tarehe 15.09.2013 alipoondolewa na Baraza la Mashauriano Mkoa wa Mbeya kwa makosa mbali mbali.tuhuma nyingi jana nilizitoa kwenye ukurasa wa facebook na kwa mantiki hiyo huyu si kiongozi wa chadema na alikuwa mwananchi wa kawaida tu.ushauri wa bure ni kwamba watu wawe wakweli kwa mambo ambayo mwisho wa siku yatafahamika.

Waitara asante sana kaka kwa hii taarifa .Mimi nilishangaa kuona anachuua kadi kavaa gwanda nikajua hakuwa na nguo zaidi ya vazi ka Chadema .Na nilijua taarifa sahihi zitakuja .Asante sana .
 
Ridhiwani Kikwete

Wewe mzalendo unasubiri nini? Njoo kwenye Chama kinachokujali,kinachokutumikia na kinachoangalia mustakabali ya Uhuru wetu na Mshikamano kwa mapana..."
... Chama kinachosimamia uuzaji wa Nyara za serikali (ukifanywa na watu binafsi), kinacholinda mafisadi, wauza unga, na kinachong'oa meno na kucha za wazalendo kule mabwebande, chama kinachotuma askari kuua wazalendo kwenye mikutano ya vyama vya upinzani...
 
Right word ni kwamba Kinana anawatesa Watanzania wenye njaa .Mimi Kinana anaweza kunieleza nini hadi nimwelewe.Anawanunua wenye njaa kama wewe .Kupelekwa UK kama Mwigamba mkanyea kambi .Nani anaweza nieleza kwa nini Shonza haandamani na Mwigulu tena ?
 
Huyo Braisoni sio katibu alifukuzwa ukatibu tangu mwezi wa tano alivuliwa ukatibu kwa kosa la kupingikiza pikipiki ya chama kwa sh. Laki mbili kwaiyo ana njaa sana na toka alipo vuliwa u katibu alikua hayupo kabisa katika chama katibu wa chadema chunya anaitwa Protas mgimbila so braisoni sio katibu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom