Wananchi wamejitambua hao wachache wamelogwa na mchawi kapoteza password asingekubali waendelee kuteswa na huyu Subiani CCM.Ila marekebisho kdogo hao wenye yunifomu siyo wote ni watu wao bali umesikini ulopandwa na serikali yao umewafanya washindwe kununua hata nguo za kujisitiri wanakeshea na kushindia izo walizogawiwa wakati wa kampeni.Tufunge tuwaombee wapate ukombozi wa kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.