Kama tilivyosikia Mh ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu, pia tumesoma katika magazeti yetu kampuni ya katibu mkuu mteule kuhusishwa na kusafirisha meno ya tembo. Japo wapo walioridhika na utetezi wake kuwa hausiki, jambo ambalo nalipinga. Upo uwezekano hausiki direct, lakini indirect anahusika na kashfa hii.(Hakuwepo bandarini,lakini aliujua mzigo)
Katika mkoa anaotoka huyu Baba, miaka michache iliyopita, walitoroshwa wanyama hai. Is it coincidence? any way hausiki au kama baadhi yatu tulidai kusakamwa kwake ni kutokana na jina/mavazi yake kushabiana na dini fulani.(ain't going there)
Sasa nasikia Mzee anasafiri kila mkoa akiongozana na mpinga UFISADI aka VUVUZELA kuangalia uhai wa chami. Kwa maoni yangu, nadhani Jamaa anapita kuangalia ni mkoa gani atapata Tembo wengi kuendeleza biashara yake. Chama chake ni kivuli cha Majambazi, na wengi hutumia mwamvuli wake kujitajirisha binafsi.
Uwanja upo wazi jadili please