SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,904
- Thread starter
- #21
Punguza jazba, Malekani ndio wapi ndugu, hata hivyo ukiwa kiongozi, kampuni yako ikitajwa kwenye kashfa, hata kama haina uhusiano wa moja kwa moja na shughuli unavyofanya, unaachia ofisi. Waungwana wanafanya hivyo, ndio maana kwa wenzetu waliostaarabika, kashfa yoyote mtu anaachia madaraka.acha uongo,,hiyo kampuni haikagui mizigo,,lazima uwe muelewa ebu toa ushahidi wa hiyo kampuni ya Malekani
acha uongo,,hiyo kampuni haikagui mizigo,,lazima uwe muelewa ebu toa ushahidi wa hiyo kampuni ya Malekani