Wewe lazima tumbo lako litakuwa bovu!unapinga ukweli kwa kupachika uongo,eti nitajie hiyo kampuni ya marekani!!!wapi ameandika kuhusu kampuni ya marekani?kapige jaramba facebook kwanza,hujapevuka bado.acha uongo,,hiyo kampuni haikagui mizigo,,lazima uwe muelewa ebu toa ushahidi wa hiyo kampuni ya Malekani
Utajiri wa kuweza kumiliki meli kaupata wapi?
General Patreas kaachia ngazi kwa ajili ya nyumba ndogo tu, wala siyo wizi au usafirishaji wa nyara za serikali. Lakini Tanzania sisi ni nchi maskini! hatuwezi kuruhusu maamuzi magumu ya namna hiyo!
Ingekuwa Marekani huyu jamaa angeshaachia ofisi sababu tu ya kampuni yake ya uwakala kutumika kusafirishia magendo. Hilo ndio jembe la magamba.
ebanaee, nani msafi aliyebaki CCM?
Ni kweli kabisa wakala wa ukaguzi wa mizigo ndio wa kulaumiwa na si wakala wa kusafirisha mizigo!
mpiga kura peke yake ndo msafi aliyebaki CCM!
Sasa hapa kazi ya Wakala ni nini! Kama unashindwa kujua unachokwenda kukisafirisha, ina maana kuna siku utabebeshwa hata silaha au madawa ya kulevya na wewe unapeleka kichwa kichwa kukipakia kwenye meli ya watu! Hapa tusidanganyane, Wakala anapaswa kujua aina ya mzigo anaousafirisha ili aweze kutoa tozo sahihi kwa thamani ya kinachosafirishwa kwa mteja, na pia Insurance ya kinachosafirishwa vyote vinatakiwa viwe chini ya Wakala. Kama Wakala hujui unachokisafirisha maana ya kuwepo Insurance ya mizigo inayosafirishwa ni nini? Pia kuna uwezekano mkubwa kwamba umetumiwa kukwepa kodi ya TRA kwa kushiriki Uongo wa mteja kuidanganya TRA. Tusidanganyane, kwenye issue hii Kinana asijitoe anahusika moja kwa moja.
Sasa hapa kazi ya Wakala ni nini! Kama unashindwa kujua unachokwenda kukisafirisha, ina maana kuna siku utabebeshwa hata silaha au madawa ya kulevya na wewe unapeleka kichwa kichwa kukipakia kwenye meli ya watu! Hapa tusidanganyane, Wakala anapaswa kujua aina ya mzigo anaousafirisha ili aweze kutoa tozo sahihi kwa thamani ya kinachosafirishwa kwa mteja, na pia Insurance ya kinachosafirishwa vyote vinatakiwa viwe chini ya Wakala. Kama Wakala hujui unachokisafirisha maana ya kuwepo Insurance ya mizigo inayosafirishwa ni nini? Pia kuna uwezekano mkubwa kwamba umetumiwa kukwepa kodi ya TRA kwa kushiriki Uongo wa mteja kuidanganya TRA. Tusidanganyane, kwenye issue hii Kinana asijitoe anahusika moja kwa moja.