falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
- Thread starter
- #61
Naona wameamua kuitana ili kukukomoa.
Ila message sent.
mfano apa chuo unaweza ukaskia mtu anaita bby,wanapigana makiss hamna cha kuwafanya.
Tuwaache watu wazima na uamuzi wao..
tena shetani kawapa ujasiri wa kujitetea kwa nguvu zote,ila mungu anawaona