Kinadada piteni hapa turekebishane

Kinadada piteni hapa turekebishane

dada zetu mmezidi kufanya mambo haya hadharani tena istagram inawapoteza mnapiga picha mmekumbatiana kimahaba huku mnakiss,sijui mnaifundisha nini upcoming generation,kasi ya wanaume si sawa na wanawake,dar nyumbani nawaelewa huko kukiss hadharan ni kama fasion,hapa mombasa pia ni afadhali ya dar. sijui nimwambie dougiemaster anisaidie kufikisha ujumbe

Wanaofanya hivyo waache inapoteza utu wao. Na ni dhambi
 
Wanawake wako sweet muda wote... Mwanaume wa kazi kumuita sweet, baby inachukuliwa kama udhaifu ... makuzi yetu inatufunza mwanaume kuwa ngangari ..
 
binafsi sipendi mbaya zaidi hizo sauti za kuitana zinalegezwa kama mlenda..eti "ooh sweer har i miss you"
 
No wanaume sio kama wanawake kuitana honey sweet darling ni mambo ya kawaida kwa waschana ndo wameubwa hvyo huwa kuna maneno ya waschana na wavlana haimaanish ni wasagaji wanaume wao wanatakiwa wakaze ndo maana kwa girls kutembea wameshkana mkono ni kawaida ila si kawaida kwa wavlana usifananishe wavlana na waschana wameubwa tofauti kabsa
 
No wanaume sio kama wanawake kuitana honey sweet darling ni mambo ya kawaida kwa waschana ndo wameubwa hvyo huwa kuna maneno ya waschana na wavlana haimaanish ni wasagaji wanaume wao wanatakiwa wakaze ndo maana kwa girls kutembea wameshkana mkono ni kawaida ila si kawaida kwa wavlana usifananishe wavlana na waschana wameubwa tofauti kabsa

umejitahidi kumsaidia shetani kwa nguvu kubwa, haya vp kukiss nayo ni kawaida sana? tena deep kisses
 
Back
Top Bottom