Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Diva Beyonce mpenzi kumbe upo huku?
Nipo mpenzi shatia timu mapema kabisa.
Last edited by a moderator:
Diva Beyonce mpenzi kumbe upo huku?
daaa yani negative and unpredictable response... mpaka mleta mada sijui anajisiaje akiona comments za wadau
Wewe watu wakiitana ivo kinakuuma nini?????
Wanaona wivu wao hawawezi kuitana
wadau wako busy na mahaba
umeonaee my.
Tena wao wanaitana kiajabu unaweza kupasuka ngoma za masikioni ukisikia.
watuache sie tuitane kimahaba kwa raha zetu.
ila haka katabia kuna wengine wakiitana hivyo naona sawa tu ila wengine mmm inaonekana kabisa anaiga tu asivyovijua ... wadada wanapenda sana kigana ni sawa na lile pozi lao la kipiga picha huku kainua mguu mmoja wengine wala haliwapendezi.
Hivi ungeniita mie honey wako ungepungukiwa nini?
hehehe yaani mnaitana kimahaba kabisa hadi unaweza ukasinzia
babe uwah kurudiii
Unaona wivu
humu kuna vielement vya uwepo wa wasagaji
umeonaee my.
Tena wao wanaitana kiajabu unaweza kupasuka ngoma za masikioni ukisikia.
watuache sie tuitane kimahaba kwa raha zetu.
ni kweli tunaitana majina ya ajabu lakini tunapendana, utaskia we boya uko wapi ? njoo maskani nikupe ofa ya bia maskini mkubwa we, lakini nyiee mmmmh , , , , ,
Ha haaa
u better quit becouse they will fighting you in words
u better quit becouse they will fighting you in words
tumia tu kiswahili maana kiingereza ndio hivyo tena.