Abdalah Abdulrahman
JF-Expert Member
- Aug 29, 2019
- 222
- 201
- Thread starter
- #21
Si mje tujadili sisasa za Tanzania kwenye kamati?Si mmeona kamati mapendekazo yake?Kwani hamjui Watanzania ni zaidi ya milioni 55,na wanachama wa chadema ni chini ya milioni 4? hivi watu milioni 50 na zaidi wawasikilize mnachotaka?Nakupinga
Uchaguzi wenyewe upo huru na haki? Tuanzie hapo
Kwa nini ccm hawaitaki Tume huru ya uchaguzi ikiwa wanatambua kwamba upinzani unajimaliza wenyewe