Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,145
- 13,216
Huyu ni ni kiungo mshambuliaji wa Azam,alikuwa mfungaji bora misimu kadhaa aliyopita, lakini msimu huu sidhani hata amefikisha japo goli 4....Amezaliwa mwaka 1989 (kwa takwimu zilizopo) huyu ni huenda atakua ni mke wa tatu (alizaa na demu wake wa kwanza akiwa sekondari tu, akaoa rasmi wa wa pili akamwacha kwa madai alikua anamchuma tu sasa yuko mbioni kubeba hicho kitu hapo....najua mtashuka na nondo zaidi.........