Hapo penye red nahisi hauipendi Man United, unaweza ukawa mshabiki wa arse8Mimi hata siwajuagi wachezaji wa bongo labda angekuwa wa athletic bilbao au benfica. Anaitwa nani?
View attachment 49100
Jamaa alipewa ushauri mzuri tu na Zolla kwamba arudi nyumbani akaongeze mwali....yeye akaongeza mwanamke.....Huyu ni mkewe wa ndoa wa kwanza...........
Naskia utaaaaaaaamu! Kitu kimetulia, halafu kinaita. Hongera kijana kwa kula mali safi.View attachment 49097
Huyu ni ni kiungo mshambuliaji wa Azam,alikuwa mfungaji bora misimu kadhaa aliyopita, lakini msimu huu sidhani hata amefikisha japo goli 4....Amezaliwa mwaka 1989 (kwa takwimu zilizopo) huyu ni huenda atakua ni mke wa tatu (alizaa na demu wake wa kwanza akiwa sekondari tu, akaoa rasmi wa wa pili akamwacha kwa madai alikua anamchuma tu sasa yuko mbioni kubeba hicho kitu hapo....najua mtashuka na nondo zaidi.........