Kinachopooza kampeni za Magufuli ni nini?

Kinachopooza kampeni za Magufuli ni nini?

Umenena vyema mkuu, Magufuli hayuko realistic, pia anaahidi ahidi tu vitu ambavyo kwa akili uya kawaida unaona havitekelezeki. Anachofanya ni kuwafurahisha watanzania na furaha yenyewe ni ya wiki tatu tuu. Baada ya uchaguzi tunarudia huzuni zetu.

Shikamoo mkuu
 
Back
Top Bottom