Kazwala mkuu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,034
- 2,250
Ndiyo kupooza kwa sasa.
Umenena vyema mkuu, Magufuli hayuko realistic, pia anaahidi ahidi tu vitu ambavyo kwa akili uya kawaida unaona havitekelezeki. Anachofanya ni kuwafurahisha watanzania na furaha yenyewe ni ya wiki tatu tuu. Baada ya uchaguzi tunarudia huzuni zetu.