Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
uko sawa kabisaHivyo vitabu huwa mnavisoma lakini nina mashaka kama hata huwa mnaelewa hasa maudhui yake!
Kwa maana hayo uliyoyataja yako kwa Binadamu wote na kama hivyo ndivyo basi unaweza kusema kwa Msaka yoyote yule wa Uraisi kuanzia Pinda, Kigwangala, Slaa, Zito, mpaka Lipumba hivyo kama ni kweli umekielewa hicho kitabui sielewi ni kwa nini unamwandama Lowasa peke yake!
wewe ni zuzu, ndio walewale mnaopewa pilau kwisha kazi, kama unashindwa hata kuunganisha kujiuzulu kwa EL na ufisadi wa Richmond basi hata upigiwe panda ni kazi bure. BYE.
Ndivyo alivyokuambia❔
Yah!!!!!
Mimi tatizo langu kwa huyu ni endapo atapata urais, fadhila atakazo lipa kwa hao anaowaita marafiki zake wanaomfadhili sasa zitaiicha hii nchi kuwa jangwaa, naomba atuache na shida hizi hizi aisee.
Hatupaswi kuwa na rais alietuhumiwa kwa ufisadi.
Yaani wewe pumba kupitia maelezo. Hata maana ya self actualization huifahamu. Kavute bangi then kalale
Yaani wewe pumba kupitia maelezo. Hata maana ya self actualization huifahamu. Kavute bangi then kalale
Yaani nimefatilia nimegundua wewe ni kichwa ngumu alafu mgumu kuelewa! Chuki tu zinakutoa povu na mtakoma mwaka huu..mtahama hii nchi.
Kumbe alituhumiwa?sasa kama ange........si ndio unge.........
uko sawa kabisa
Mimi mama sio kaka.
Yaani wewe pumba kupitia maelezo. Hata maana ya self actualization huifahamu. Kavute bangi then kalale