Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
We are all come from history, Ujasiria mali na uongozi wa walala hoi wapi na wapi?
ukishajijengea himaya pumzika waache walio safi watuongoze
Inahusiana vipi na mada uliyoiandika? Na una uhakika gani kama Lowasa ni mjasiriamali kama ulivyosema? Una uhakika gani kama Lowasa amejenga hiyo Himaya unayoiongelea? Na ahao unaosema ni wasafi una ushahidi gani wa usafi wao?