Kinachomsumbua Lowassa ni hiki

Kinachomsumbua Lowassa ni hiki

wewe ni zuzu, ndio walewale mnaopewa pilau kwisha kazi, kama unashindwa hata kuunganisha kujiuzulu kwa EL na ufisadi wa Richmond basi hata upigiwe panda ni kazi bure. BYE.

CHUKI BINAFSI haifai ndugu yangu. Wewe unapayuka na kumpaka matope huku mitandaoni mwenzako amenyamaza kimya hana muda na mada za kijinga anachanja mbuga. Kihunzi cha kwanza ameruka cha kuongezewa adhabu.
 
Yaani nimefatilia nimegundua wewe ni kichwa ngumu alafu mgumu kuelewa! Chuki tu zinakutoa povu na mtakoma mwaka huu..mtahama hii nchi.

wale wale..... sioni hata point, pilau au buku tano kwisha kazi....uongozi/hatima ya nchi si kama kushabikia Simba vsYanga,
najua hujui na mbaya zaidi hujui kama hujui!!!! sijishughulishi nawe. Bye
 
Mhe Kikwetu amekwisha kukuambia watateua mgombea anayekubalika na wananchi. Vile vile EL anataka kutimiza ndoto zake. Wajibu wako ni kupiga kura.

Ndio. pamoja na kujua nani unampigia, refer hata comments za Mwl. siku za nyuma
 
CHUKI BINAFSI haifai ndugu yangu. Wewe unapayuka na kumpaka matope huku mitandaoni mwenzako amenyamaza kimya hana muda na mada za kijinga anachanja mbuga. Kihunzi cha kwanza ameruka cha kuongezewa adhabu.

Unajua mitazamo ya watu kuhusu jambo/kitu fulani ni aina 3.
1. Optimist
2. Pessimist
3. Objective

EL ni homeboy wangu na church meber wangu sina chuki yoyote ila mimi niko Objective to the subject.
Nakushauri uwe Objective unapo-discuss mambo, Hata EL ana mambo mazuri tu, but tulionywa na MWL. kuwa mtu anayependa sana kwenda Ikulu tumwogope kama .....
 
Ni msaka urais gan hana wafadiili?ebu tupe orodha ya hao wasiokua na wafadhili,wapambe na wala marafiki mkuu.



Kama ulikuwepo wakati wa mkapa na jakaya hebu niambie ni sehemu gani walionekana wakigawa mapesa ambayo wanapewa na wafadhili???????????? Sikiliza wenzie walijiimalisha kisiasa hata pesa kama walitoa watoa chinichini sio kiasi chake atoe bilions of money eti amepewa na marafiki ili hao marafiki aje awalipe nini?????????? Unadhani anapewa tu hizo hela????????......... yeye ni mtoto yatima?????????? hizo fadhila zitaondoka na mara 1000 ya rasilimali zetu bhana! hakuna cha bure wala ufadhili hapo, hawa watu weupe hawana rafiki wala adui wa kudumu wapo kiuchumi tu.

DUNIANI HAPA CHA BURE NI SALAMU TU.
 
EL ni mtu mzima, anawajibika kwa maamuzi na matendo yake mwenyewe, kama yatamuumiza au kumnufaisha ni yeye mwenyewe wala sio sisi mashabenga wa nje, hiyo self actualisation unayoisema ndio path yake kama mwanasiasa, hatakiwi kuchoka mpaka aipate the biggest prize in the political game; The Presidency! so it is upon him and him alone to decide what he wants to do with his life and face consequences for his chosen path, NOT we mere bloggers!

Ndg MTK nakuunga mkono 80%. A man has to decide what to do at a what time and for what purpose and all these for his own good! Sio kiherehere mmoja tu kwenye JF kutaka kumwamria mtu kama EL chakufanya bila hata aibu! Shame kwa mleta mada!
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Mwenyekiti wetu kashasema kwamba "lazima tumpate mtu anayekubalika kwa umma, sisi tupo mil 6 tu na wapiga kura wapo 23,000, chochote kinaweza kutokea na muda wowote tunaweza kuwa wapinzani, ndiyo si ajabu"

Tafakari kwa kina kauli hii.
 
Kwa vituko hv vya zama hii!!.
Pamoja na kwamba alikuwa anamchagua mgombea anayemtaka kwa mustakabali wa mama Tanzania, lakini mtankumbuka sana Marehemu, Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere.
 
But we are here to be analysts Bro!

Indeed; we can be analysts but lets be fair to subjects of our topics under discussion; each and everyone of us has a right of choice of path to self actualisation; EL included, we hold our destiny in our hands! someone must not be villified for a chosen path to self actualisation. we may not like him; but we should accept his right to determine what is right or wrong in his career path and life in general.
 
Ndg MTK nakuunga mkono 80%. A man has to decide what to do at a what time and for what purpose and all these for his own good! Sio kiherehere mmoja tu kwenye JF kutaka kumwamria mtu kama EL chakufanya bila hata aibu! Shame kwa mleta mada!

What shame? you cant leave a dear brother walk towards cesspool and leave him damp in
 
wewe ni zuzu, ndio walewale mnaopewa pilau kwisha kazi, kama unashindwa hata kuunganisha kujiuzulu kwa EL na ufisadi wa Richmond basi hata upigiwe panda ni kazi bure. BYE.

Subiri na yeye atasafishwa kama akina kagaboy na nchi alafu utafute pa kuficha uso wako
 
Indeed; we can be analysts but lets be fair to subjects of our topics under discussion; each and everyone of us has a right of choice of path to self actualisation; EL included, we hold our destiny in our hands! someone must not be villified for a chosen path to self actualisation. we may not like him; but we should accept his right to determine what is right or wrong in his career path and life in general.

You might be right Bro. the subject under discussion is not what steps should one trace to be there, he has all the rights to decide. But fulfilling ones desire should not include solicits in the way that money become " A SOLICITOR"
that is not accepted even in the so called developed worlds
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Tulilia pamoja, Tulicheka Pamoja, Tutafurahia pamoja...... EL
 
You might be right Bro. the subject under discussion is not what steps should one trace to be there, he has all the rights to decide. But fulfilling ones desire should not include solicits in the way that money become " A SOLICITOR"
that is not accepted even in the so called developed worlds

Sawa; BUT any proof of commission?!; prove me wrong bro! am given to understand that most EL critics are driven by mere presumptions and most are fed by the grape vine?! Unfortunately EL has become the RAO; read Raila Amolo Odinga of Tanzania; the man most people love to hate!!
 
CosaNostra

Nafikiri wewe ndiyo umechoka mwili na akili sisi wengine LOWASA ni chaguo namba moja labda Mungu ashushe malaika ndiyo nitabadilika.
 
Last edited by a moderator:
Si kweli, Wenye hofu ya kulipiziwa kisasi ndo wanahangaika sana kumkwamisha Lowassa ... Bahati mbaya sana, tayari anawafuasi wengi wa ndani na nje ya Chama watakao mwezesha kuwa Rais wa JMT ... angekuwa ni mtu wa kupanda hizo ngazi kamwe asingekubali kujiuzulu!!! angefanya kama Pinda kwenye ESCROW ...

CosaNostra
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom