Unajua mitazamo ya watu kuhusu jambo/kitu fulani ni aina 3.
1. Optimist
2. Pessimist
3. Objective
EL ni homeboy wangu na church meber wangu sina chuki yoyote ila mimi niko Objective to the subject.
Nakushauri uwe Objective unapo-discuss mambo, Hata EL ana mambo mazuri tu, but tulionywa na MWL. kuwa mtu anayependa sana kwenda Ikulu tumwogope kama .....
Hii kumuandama mtu mmoja tu kwenye hili jukwaa ikionesha dhahiri ni kundi la kumchafua mtu si sawa. Huyu Lowassa si malaika ana madhaifu yake mengi tu na mazuri yake mengi pia kama ulivyosema. lakini aliyetangaza kugombea uraisi si yeye peke yake. Iweje anayeandamwa ni yeye tu???