Kinachomharibia Lowassa ni imani yake nyepesi

Kinachomharibia Lowassa ni imani yake nyepesi

Ndiyo habari ya hapo.......

Mie mzalendo bhana
ile nyimbo ya CCM MBELE KWA MBELE ndio inatumbuiza saa hizi

yaani ha ha ha ha hawa makada wamevurugwa,

mkuu unakosa uhondo huku haya mauno ni hatari
 
Ushindi Wa upinzani utakuja tukipata katiba mpya ambapo tume utakuwa niihuru,hakuna cha kujiamini wala roho nyepesi! Bila katiba bora waendelee kupiga makitaimu au kupiga hela Kama plofeza lipumb. Unachota mihela unawageuka wenzio alafu badae unarudi kibabe
 
Mkuu nakubalianan na ww 100%, umefanya uchambuzi ulioshiba
 
Lowassa hakuibiwa kura, Chadema na Ukawa walizidiwa mbinu hasa kwenye uteuzi wa mgombea anayetoka ngome/ ukanda wenye wapiga kura wengi!!!
 
Ushindi Wa upinzani utakuja tukipata katiba mpya ambapo tume utakuwa niihuru,hakuna cha kujiamini wala roho nyepesi! Bila katiba bora waendelee kupiga makitaimu au kupiga hela Kama plofeza lipumb. Unachota mihela unawageuka wenzio alafu badae unarudi kibabe

Katiba mpya itakuja vipi wakati mamvi anamtegmea TB Joshua, tehe tehe tehe na mamvi hawezi kupigania katiba mpya maana anajua akiwa Rais katiba mpya itambana!
 
Jiulize ni kwa nini kule marekani wananchi wengi walimchagua Clinton lkn hakupewa uongozi, ndicho kilimtokea Lowassa,
Katiba yao inaruhusu hivyo ya kwetu hairuhusu kumpa urais aliyepata kura chache za wananchi kuliko aliyepata nyingi labda aibe.
 
Back
Top Bottom