Kinachokuweka mjini

hahaha haaaa, mabvu zangu mie, you've made my day mkuu
 
damn!!nimekuta mm kinachoniweka mjini ni "mpiga deki"...aaaaaarghhhhh!!
 
Eti Raisi!!!
Ina maana nitakuwa Prezdaa baada ya Jeikei nini?
manake sifa na vigezo vyote ninavyo..
Ni mtanzania pyua kabisa, nina akili timamu, hendsamu, n.k n.k..
Oooops Umri!!
Ngoja nianze mchakato wa ku lobby ili kigezo cha umri kichakachuliwe..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…