Kinachokuweka mjini

damn!!nimekuta mm kinachoniweka mjini ni "mpiga deki"...aaaaaarghhhhh!!
 
Eti Raisi!!!
Ina maana nitakuwa Prezdaa baada ya Jeikei nini?
manake sifa na vigezo vyote ninavyo..
Ni mtanzania pyua kabisa, nina akili timamu, hendsamu, n.k n.k..
Oooops Umri!!
Ngoja nianze mchakato wa ku lobby ili kigezo cha umri kichakachuliwe..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom