ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,536
- 52,594
Hao wanaojiita sijui tumesoma ndo mbumbumbu hawana hata exposure,,sio kila kitu kipo kwenye madesa,toka kwenye madesa ji update na ulimwengu wa kisasa
Watu wametoka kolomije huko na njaa kibao Basi wakabebwa hapo tanroads ndo hao wanafanya utumbo tu bila kujielewa,badala ya kujibu hoja wanakimbilia kusema eti anayekosoa aeleze alivyochangia kwenye fani yake,huu si undezi sasa
Watu wametoka kolomije huko na njaa kibao Basi wakabebwa hapo tanroads ndo hao wanafanya utumbo tu bila kujielewa,badala ya kujibu hoja wanakimbilia kusema eti anayekosoa aeleze alivyochangia kwenye fani yake,huu si undezi sasa