Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,940
- 20,400
Mugabe afikishwe ICC
Hilo sio wazo la wazimbabwe kwa sasa.
Mugabe anapaswa kuondoka mwenyewe kwa hiyari na hatofanywa lolote.
Ni mtu tajiri sana utajiri alojitengenezea kwa miaka 37.
Mugabe afikishwe ICC
Mkuu wa majeshi hakamatiki jua na yeye tayari amejipanga. Na ikiwa hivyo nchi ndo itapinduliwa kiukweli.Babu sasa hivi ana hasira za mazee wake kunyaswanyaswa na wanajeshi, akipewa nafasi tena japo ya masaa 2 tu kushika hatamu za uongozi kazi ya kwanza katika dakika 30 za kwanza nadhani itakuwa kumkamata mkuu wa majeshi akiwa hai au mfu.
Alitakiwa awe ameondoka miaka 10 iliyopita.Hilo sio wazo la wazimbabwe kwa sasa.
Mugabe anapaswa kuondoka mwenyewe kwa hiyari na hatifanywa lolote.
Ni mtu tajiri sana utajiri alojitengenezea kwa miaka 37.
Rais wa Zimbabwe's Robert Mugabe amewatunuku shahada zaidi ya wanafunzi 3,300 katika chuo kikuu cha Zimbabwe, akiwemo mke wa jenerali aliyemzuia siku ya Jumatano. BBCTupia kapicha mkuu
Rais wa Zimbabwe's Robert Mugabe amewatunuku shahada zaidi ya wanafunzi 3,300 katika chuo kikuu cha Zimbabwe, akiwemo mke wa jenerali aliyemzuia siku ya Jumatano.Kweli kabisa mkuu, nimestaajabu baada ya kumuona Mugabe uraiani kwenye mahafali!!! Sidhani kama Jeshi linaweza kufanya mistake hiyo ya kumrudisha madarakani babu.
Piece coup??? Haahaaha ndio maana wakenya na waganda wanatuona wabongo viazi. Kwann usingetumia tu kiswahili safi?it was a piece coup ingawa nadhani kwa hapa Africa ndio itakuwa ya kwanza kabisa
Wanaweza kumuacha kama sanamu ambaye hana hata mamlaka ya kumfukuza mtu kaziWatafyekwa wote waliohusika na mapinduzi kama watakubali kumrejesha Rais Mugabe aendelee kuwa madarakani hadi uchaguzi ujao mwaka kesho.
Unanikumbusha kipindi cha Dk 45 MkuuExactly! Inategemewa CDF akionekana mbele ya camera ni jambo zito la kitaifa na sio habari za kutishia sijui wanaotaka kuandamana kudai haki mikutano ya kisiasa au kumpinga mweneyekiti wa mtaa. Issues za kutoa progress ya mapigano mbele ya vyombo kama Bunge nchi inapokuwa vitani; issues kama mabadiliko yasiyo ya kawaida ya kiutawala; yaani issues nzito mno za kitaifa ndio majukumu yake hayo kutoa progress tena very briefly zaidi ni action. Lakini unapoona CDF anapiga soga mbele ya waandishi wa habari; kuwashauri wasioridhika waende mahakamani; kuwaonya wahalifu sijui wa Kibiti na wapi huko dah! hizo ni press za Advera Senso or junior officers.
We jamaa mbona umeweza mbali sana, usitutisheHuyo jenerali aje na bongo huku.
Huyu Jenerali hayupo kawaida, yaani wamejipnga vizuri kindani na kiintelejensia na ndio maana hawakuwa na papara kwenye actions, ndio maana tunasema information is power, na idara zake zinafanya kazi vizuri bila unafiki kwa Mkuu Wao, na hiyo ni kwa sababu wanajitambua, hawaendi kama manyumbuHeshima wanayoendelea kumpa Mugabe itamtia kibri na inaweza kuwacost jeshi. Mtu yupo supposedly kwa house arrest lakini anakwenda kuhudhuria graduation ceremony? I hope wana plan B jinsi ya kumdhibiti Mugabe na mkewe kama watakaidi