Mkuu unadhani ikitoka ccm tu ndiyo kila kitu kitakuwa sawa? katoka Gadafi huko Libya ila mambo ndiyo yamezidi kuwa mabaya,huko Kenya wana katiba mpya ila bado tatizo lao la siku zote linaendelea kuwasumbua.
ndoto za abunwasi. Lakini ni akili yako mkuu. pambanaChama tawala nchini Zimbabwe ZANU-PF kimemtaka Rais Robert Mugabe ajiuzulu. Matawi ya chama hicho katika majimbo yote10 yalikutana jana na yamemtaka Mugabe na mkewe Grace, ambaye azma yake ya kutaka kurithi madaraka kutoka kwa mumewe imechochea mzozo wa kisiasa, kujiuzulu kutoka kwenye chama hicho. ZANU PF kimeitisha maandamano Jumamosi mjini Harare.
Source DW
MAONI YANGU.
Hapo inatuonyesha wazi ni namna gani jeshi la Zimbabwe limekomaa ktk mipango yake... Ninaamini, kama akikataa kujiuzuru basi jeshi litakishawishi tena chama kumnyang'anya kadi na huo ndio utakuwa mwisho wa mwisho wa Mugabe. Jiondokee tu mzee ukalee vitukuu Jeshi, Chama, Wananchi wameshakuchoka, utapata uungwaji mkono toka wapi?
Hata Libya kwa shinikizo na propaganda za wazungu walisema hivyo hivyo. sasa hivi wako wapi? kubaka historia ni hatari sana kuliko kubaka mwanamkeZANU-PF kimeitisha maandamano ya kumtaka Comrade Robert G. Mugabe, Supreme Leader and founder wa chama kujiuzulu! Haya mavyama kongwe na yaliyochoka huku Afrika ni tabu sana; huwa yanawaona wananchi kama mazezeta vile. Waache usanii pumbavu zao!
Mkuu huyo jamaa inaonekana kabisa ni lofa.Mkuu unadhani ikitoka ccm tu ndiyo kila kitu kitakuwa sawa? katoka Gadafi huko Libya ila mambo ndiyo yamezidi kuwa mabaya,huko Kenya wana katiba mpya ila bado tatizo lao la siku zote linaendelea kuwasumbua.
Jeshi ndio lilimpa permit ya kuelekea Namibia ubalozini akatulieBoss mimi napata tabu moja tuu katika hii issue. Ni kwa namna gani grace alifanikiwa kutoroka. Ukizingatia ambush ilipigwa saa 4 usiku muda ambao most likely grace alitakiwa kuwa palace.
Jeshi ndio lilimpa permit ya kuelekea Namibia ubalozini akatulie
Aisee walikuwa wamemchoka kama dodoki liloozaKuna mengi ya kujifunza kwa hizi picha. Saa nyingine watawala wanatawala kweli kwa mkono wa chuma mpaka atakapotokea mmoja wa kutuokoa. Mpaka wazungu wanasherehekea. Hongera Jeshi kwa kupindua nchi bila umwagaji damu na kumuhifadhi mzee wetu salama bila kumdhuru.
Hana hata mjukuu ana watoto wa kugongewa tuChama tawala nchini Zimbabwe ZANU-PF kimemtaka Rais Robert Mugabe ajiuzulu. Matawi ya chama hicho katika majimbo yote10 yalikutana jana na yamemtaka Mugabe na mkewe Grace, ambaye azma yake ya kutaka kurithi madaraka kutoka kwa mumewe imechochea mzozo wa kisiasa, kujiuzulu kutoka kwenye chama hicho. ZANU PF kimeitisha maandamano Jumamosi mjini Harare.
Source DW
MAONI YANGU.
Hapo inatuonyesha wazi ni namna gani jeshi la Zimbabwe limekomaa ktk mipango yake... Ninaamini, kama akikataa kujiuzuru basi jeshi litakishawishi tena chama kumnyang'anya kadi na huo ndio utakuwa mwisho wa mwisho wa Mugabe. Jiondokee tu mzee ukalee vitukuu Jeshi, Chama, Wananchi wameshakuchoka, utapata uungwaji mkono toka wapi?
Au huo ndio intellegence beyond your borders, ni kawaida watu kuwa na taarifa nyingi za nchi nyingine kuliko nchi yako
.....shida ya Africa unaFKIMamia ya watu wamekusanyaika mjini Harare kushinikiza kujiuzulu kwa kiongozi wa Taifa hilo Rais Robert Mugabe
Waandamanaji hao wanaungwa mkono na jeshi la nchi hiyo na wanachama wa chama tawala cha ZANU-PF
Wakongwe waliopigana vita ya mapinduzi ambao walikuwa wanamuunga mkono Rais Robert Mugabe nao sasa wanasema aondokeView attachment 632783 View attachment 632784
==========================================
Jubilant scenes are unfolding on the streets of Zimbabwe's capital Harare, as protests demanding the resignation of President Robert Mugabe have turned to a celebration of the army's role in ending his grip on power.
BBC correspondents say protesters are hugging soldiers in the crowd and cheering for them.
One man told the BBC the day was "about a new beginning".
The rally is supported by the army and members of the ruling Zanu-PF party.
War veterans - who until last year were loyal to the president - are also saying Mr Mugabe should quit.
A BBC correspondent in Harare says this is a watershed moment and there can be no return to power for Mr Mugabe.
A man arriving at the rally said: "As Zimbabweans, we are saying to our army: Thank you very much for the peaceful intervention.
"And it's time for the masses of Zimbabwe to say: Mugabe must go and must go, like, yesterday. We can't wait to see his back. For us, it's about a new beginning.
"For us, it's about the end of authoritarian rule and we are going to take our Zimbabwe back."
Source: BBC