jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,837
- 7,605
Ila mama zetu achana nawo kabisa, Comrade alihonga kila kitu maishani mwake, utashi wake, itikadi zake, marafiki, bado haikutosha, ikabidi atake kuhongo NCHI! Wanaume wenzake wakaona sasa Comrade unasikilizia sana utamu sana, hatuendi hivyo babu, ebu kaa pembeni kidogo!Mkuu, Grace Mygabe bado yupo chini ya ulinzi kwenye Ikulu ya Zimbabwe. Pale ikulu yao pamegawanyika hivyo yeye Grace Mugabe na wanafamilia wengine wapo chini ya ulinzi sehemu ingine. Hizo taarifa za kukimbilia Namibia nadhani bado hazijathibitishwa. Kumbuka wanajeshi walipozingira Ikulu Grace alikuwemo ndani na mzee Mugabe.