Kinachoendelea Syria, Mungu haoni?

Mkuu nipo na kaubize fulani ,ndomaana nachelewa kujibu.


Ila nikuhakikishe kua , haya mambo nimepesi na yako wazi kuyajua , ngoja siku moja nikiwa namuda, nitaandika baadhi ya maandishi kuhusiana na hizi mambo na ukanda huu wa afrika mashariki eneo ambalo linatajwa kua na ardhi bora ya kilimo ,mali asili nyingibn.k.

Ila kuyaelewa nisharit uwe umeamua kuyaelewa ,naukitoa muda wako kuyalinganisha na uhalisia wamambo yanavyoendelea ...utajikuta unatabasamu na kusema "" ooohhh kumbe""
 
Kwaufupi nikwamba hamna jipya chininyajua ,yanayoyokea yameandikwa nahayatobadilika zaidi yakutokea moja baada yajingine.

Je unakumbuka habar ya Jua kuleta joto kuwaunguza watu mpaka kufa uko china uingereza n.k ???

Sasa yote haya yameandikwa , kinachofanywa watu wasiyajue ninamna yanavyokuja ..... Yanakuja kupitia wanadamu wenyewe .
 
Inasikitisha sana aisee Mungu awaepushie mabalaa
 
Mesha sema kwamba, watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa
 
Unataka Mungu azuie mabomu yasiripuke au? Ukiwa na akili mbovu utavuna mabovu mpaka siku ya mwisho TRUMP AMETUSEMA KUWA AFRIKA NA UARABUNI NI RACE FROM SHITHOLES HAKUKOSEA
 
Mungu hayupo.

Kama yupo haingilii maisha ya kila siku ya watu. Kwamba baada ya kuumba kanuni za kuongoza Ulimwengu, alijitenga na kuacha Dunia ijiendeshe yenyewe.

Haya mambo mengine ni kupeana moyo tu.
Mkuu ukingali unapumua vizuri hela ya kula unapata wasiwasi na maisha huna ni haki yako kuandika uliyoandika hapa but siku inakuja utatamani uandike japo herufi moja kuyakanusha haya na hutopata chance.heri nusu shari kuliko shari kamili,sikutishi najaribu kukukumbusha kama binadam mwenzangu.
 
 
Mkuu hata ukinitisha wala sitatishika, utakua unafanya kazi bure, nina uhakika Mungu hayupo na kama yupo basi baada ya kuumba ulimwengu na kanuni zake aliutelekeza ujiendeshe wenyewe, akajitoa kwenye kuingilia maisha ya watu moja kwa moja.

Hakuna Mungu, hakuna kitu kama hicho.
 
Hivi walimu hawataki wanafunzi wao wafaulu? Ukinijibu kuwa wanataka wafaulu, basi naomba unambia kwanini wanwapa mitihani wanafunzi na wasiwape vyeti tu?
 
Hivi walimu hawataki wanafunzi wao wafaulu? Ukinijibu kuwa wanataka wafaulu, basi naomba unambia kwanini wanwapa mitihani wanafunzi na wasiwape vyeti tu?
Mungu hakujui nini hadi akupe mtihani
Tatizo kubwa linalo wasibu ni
 
Nimeangalia hizi picha roho imeniuma sana hawa watoto masikini hawana kosa lolote cha ajabu watu wanajifanya kutetea sijw upande A au B hivi natamani nimchukue hata mmoja niishi nae. Poleni sana watoto wazuri hamkustahili mateso hayo
 
Tatizo hao hao wanao pinga ugaidi ndio hao hao wanaowawezesha
 
Nimeangalia hizi picha roho imeniuma sana hawa watoto masikini hawana kosa lolote cha ajabu watu wanajifanya kutetea sijw upande A au B hivi natamani nimchukue hata mmoja niishi nae. Poleni sana watoto wazuri hamkustahili mateso hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…