Kinachoendelea SALENDER BRIDGE

rekodi nyingine inawekwa bango la kampeni kubwa zaidi liliwahi kuwekwa duniani urefu nusu kilomita
 
Dah na mimi nilipita nikaona hizo nguzo sasa sijui ni kitu gani kinaendelea inavyonekana wataweka mabango ya matangazo sitashangaa kama yakiwa na picha za mgombea wa CCM maana jamaa mabango yote mjini wametaifisha wao
 
Hivi mmeona ule upuuzi unaotaka kuendelea pale Salender Bridge? umeanza upande wa Ubalozi wa Urusi....

Mwenye macho haambiwi ona

pale tunazuioa vibaka wewe,nyie watu mfayeje mpaka muelewe aujawai kusikia vilio vya pale na vibaka au aujawai kuaribikiwa na gari maeneo yale'sasa pale tunaweka uzio 'na iyo yote ni mipango endelevu ya ccm'sema ccm oyeeeeeeee
 
hIVI TUKIACHA UJINGA NA KUANZA KUCHUKUA HATUA tutapunguza kulalama.
Wananchi tujimobulaizi tukang'oe nguzo zile na mabango yao ikibidi
 
yale mabox ya tarehe 31 oktoba, ni kuwa makini tu wakati wa kutiki na kutumbukiza karatasi. Wenyewe watayaondoa
 
hIVI TUKIACHA UJINGA NA KUANZA KUCHUKUA HATUA tutapunguza kulalama.
Wananchi tujimobulaizi tukang'oe nguzo zile na mabango yao ikibidi
mobulaizi yako ni kupigia kura CHADEMA TRH 31 mkuu
ukisha maliza hilo kila kitu kitakuwa shwari
 
Back
Top Bottom