Nyie watu wa CHADEMA ni watu wa ajabu sana. kwani Lipumba kupata kura nyingi kuliko Slaa ni tatizo? au kwa kuwa kwenyehilo jimbo kuna waikristu wengi? Inajulikana uchaguzi wa mwaka huu ni Waislamu vs Waikristu inasikitisha sana ila matokeo ya urais yanaonesha hali hiyo.
Nyie watu wa CADEMA ni watu wa ajabu sana. kwani Lipumba kupata kura nyingi kuliko Slaa ni tatizo? au kwa kuwa kwenyehilo jimbo kuna waikristu wengi? Inajulikana uchaguzi wa mwaka huu ni Waislamu vs Waikristu inasikitisha sana ila matokeo ya urais yanaonesha hali hiyo.
MAHANGA pamoja na tuhuma zile akishinda basi tuna laana kamili kuanzia ikulu mpaka wabunge.
KIKWETE yupo bize kuiba kura za urais, ilihali wabunge wake wanahaha kuokoa shingo zao
Nyie watu wa CHADEMA ni watu wa ajabu sana. kwani Lipumba kupata kura nyingi kuliko Slaa ni tatizo? au kwa kuwa kwenyehilo jimbo kuna waikristu wengi? Inajulikana uchaguzi wa mwaka huu ni Waislamu vs Waikristu inasikitisha sana ila matokeo ya urais yanaonesha hali hiyo.
Radio gani wametangaza wakati hajatangazwa na tume? hizo ni tetesi tusubiri na kwa taharifa yako wanatangazia Anatouglo ndio wapo wanasubiria kwa sasa wote Makongoro na Mpendazoe
Radio gani wametangaza wakati hajatangazwa na tume? hizo ni tetesi tusubiri na kwa taharifa yako wanatangazia Anatouglo ndio wapo wanasubiria kwa sasa wote Makongoro na Mpendazoe
wametanga saa nane ucku kama mkubwa alivyo agiza
huku matokeo mengine katika vituo 36 kiwalani ,vingunguti 8 na buguruni vituo kadhaa havikuwa vimefika na hata diwani wa kata zote hizo juu hajulikani.wametunyanganya kibabe jamani.