kijana mgumu
Member
- Jan 26, 2013
- 48
- 15
Watu nyomi kama kawaida. Kila m1 anajaribu bahati yake ila ifahamike kuwa huu ni usaili wa kwanza na bado kuna oral. Watakaoishia kwenye awamu hii wasikate tamaa maana maisha bado yanaendelea. Wapo watakaofaulu kwenda usaili wa ana kwa ana (oral) lkn wasibahatike kuajiriwa. Hongera ziende kwa wote watakaopata nafasi ya kuajiriwa.