Kinachodumisha mapenzi hiki hapa...

above all we are good friends ,huwa hatupishani interest hata siku moja.
 
huyo ana lake jambo tu na huyo mkewe
sisi wengine interest haziendani kabisaaaaaaa
home mpaka tumegawana TV.... yeye mpira muda wote, mimi haupandi kabisaaaaaa, nipo zangu na isidingo.....
lakini mapenzi motomoto.......

Hata huku kugawana TV nako ni shida unayoipata kwenye ndoa yako. Unaonaje kama ungekaa nae karibu wakati unaangalia tamthilia? Au ukienda kwa rafiki yako ukakuta yeye na mmewe wametulia sebuleni wanatazana Zone reality, au Discover World, au Hata kama ni Mpira! That is the moment of discovering true love my dear!
 

Hahahahaha hapa umenimaliza. Unaweza ukachaguliwa wife akwana na interest zote lakini asiwe na mvuto ambao ungeupenda iwapo ingemchagua mwenyewe.
 
Nilitaka kukusifu kuwa leo umeleta points bila manung'uniko kabla ya kusoma sentensi yako ya mwisho.

Sikufanya kitu, nilinyamaza na kumezea na kukubali hali niliyonayo.
 
Hahahahaha hapa umenimaliza. Unaweza ukachaguliwa wife akwana na interest zote lakini asiwe na mvuto ambao ungeupenda iwapo ingemchagua mwenyewe.

bwana wee sio kwamba atakutafutia ambaye ni the most beautiful kaka...yaani atakuwa average luking unaweza toka nae na kuonekana nae mtaani. wewe wale wazuri wapo 1%, wakawaida 95% na ng'ong'ozo 4%
 
bwana wee sio kwamba atakutafutia ambaye ni the most beautiful kaka...yaani atakuwa average luking unaweza toka nae na kuonekana nae mtaani. wewe wale wazuri wapo 1%, wakawaida 95% na ng'ong'ozo 4%

Hahahahahahahahahaha! Aisee umenichekesha sana. Hata haivyo, hao wazuri sana hawadumu kwenye ndoa!
 

Kwa mara ya kwanza, unaweza ukadhani nyama uliyoichagua imenona kumbe hujaiona iliyopikwa na Mwantum!
 
Hahahahahahahahahaha! Aisee umenichekesha sana. Hata haivyo, hao wazuri sana hawadumu kwenye ndoa!

sasa kumbe unajua...wewe mama mzazi ata siku moja hawezi kumtakia mwanae mabaya. ndio maana anakutafutia wakawaida anajua hao wazuri tabu tupu
 
wengine interest tofauti sio insu, insu ni mchakato mzima wa kitandani, wote tukirizika ndo mpango mzima mambo mengine yanaenda tu.
 

Ni kweli hapa mnakuwa na interest sawa za kuangalia DSTV, lakini mnatofautiana kwenye kuangalia channels! Kwa ujumla mnakuwa hamna interest zinazofanana!!!
 
True love? labda mimi sijui maana ya tue love, lol!
kama kuangalia TV wote ndo true love.......
 
Unajua raha ya air conditioner ni kwamba ikizidi unajifunika na blanket, je raha ya joto huwezi kujifunika tena! Anyway Lisa, ndo maana hapa mdomo ulikuwa zege, ilinibidi ninyamaze tu!
Haya bwana ila unanifurahisha sana Wiyelele!:smile-big::smile-big:
 
huyo ana lake jambo tu na huyo mkewe
sisi wengine interest haziendani kabisaaaaaaa
home mpaka tumegawana TV.... yeye mpira muda wote, mimi haupandi kabisaaaaaa, nipo zangu na isidingo.....
lakini mapenzi motomoto.......

Hata mimi tulishagawana muda mreefu kabisa, mimi soka mamaJ Movies tena za kibongo wapi na wapi. Ila la outing tumemachi kama makinda ya ndege.
 
Kumbe ingredient muhimu ya ndoa ni Hobbies? Dark City msaada tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Nivea nakutamaniaje????
hahahaahahahaa kipenzi kawida tu ukiona kakomaa kuangalia hichi wewe unachuku ipad unakula jf bila bughudha.watu wamekariri eti kwenda club,beach ngwasuma,bar sehemu za starehe ,casino eti ndio mapeenziii nononono buni new staili y maisha ,Homee sweet homee
 
Hata mimi tulishagawana muda mreefu kabisa, mimi soka mamaJ Movies tena za kibongo wapi na wapi. Ila la outing tumemachi kama makinda ya ndege.
yeye anasema eti inabidi muwe mnaangalia pamoja huo mpira na ikifika muda wa akina kanumba pia mpo wote, lol!
 
Kumbe ingredient muhimu ya ndoa ni Hobbies? Dark City msaada tafadhali

Sasa kama hobbies zinatofautiana, nadhani itakuwa kama parallel lines! You want to do something mwenzako anasema NO! Na mwishowe unakukuruka peke yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…