Hatuna nguvu za kiume lakini tukisema tunatoka daslamu hata kama ni Tandika au Tandale tukija huko mikoani kwenu tunawala hata kama tunapiga kimoja chali
Mwanaume analiwaje? Wengi wao wanaoliwa hua hao wa mikoani wakihamia Dar wanaendeleza tabia zao za kuliwa mfano mashogs wengi wanatokea Arusha wakihamia Dar ndo hao wanaanza kujiita wanaume wa Dar...Hehehee na kuliwa mnaliwa vizuri tu na kile kiswahili eti cha dar mwishowe mjing'ate. Huwa mnachekesha sana full ujuaji,tunawachora tu
Mwanaume analiwaje? Wengi wao wanaoliwa hua hao wa mikoani wakihamia Dar wanaendeleza tabia zao za kuliwa mfano mashogs wengi wanatokea Arusha wakihamia Dar ndo hao wanaanza kujiita wanaume wa Dar...
Mwanza + Arusha = kote Mikoani..same people form Mikoani same characteristics...Uzi wa mwanza na arusha wapi na wapi
Mwanza + Arusha = kote Mikoani..same people form Mikoani same characteristics...
Nadhani wewe hadi uje upepo wa kisuli suli tujikute tupo pamoja ndo utaelewa unapigwa kimoja chali lakini hauniachi..hahahahaHapo umebug mkuu. Dar inaongoza kwa mashoga wala usisingizie wa mikoani
Nadhani wewe hadi uje upepo wa kisuli suli tujikute tupo pamoja ndo utaelewa unapigwa kimoja chali lakini hauniachi..hahahaha
Ila alishindwa kumzalisha mke wake hadi akatumia njia artificia usisahau hicho kipengele hahahahaHamna cha upepo wala nini wa goli moja mkae huko huko,ndo maana makonda anawapelekesha atakavyo. Jamaa ni ngosha the don product halisi toka koromije
Ila alishindwa kumzalisha mke wake hadi akatumia njia artificia usisahau hicho kipengele hahahaha
Shida ingine ni trafic police,aisee ni kwikwi hasa barabara ya airport kutoka mjini na barabara kutoka mjini kwenda igoma,yaan wanakaba kinyama,mbaya zaidi unakuta wanakaa mafungu mafungu noma sanaMwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.
Lakini;
WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana
MISOSI
Hapa ndpo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.
Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.
Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.
BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.
Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Shida ingine ni trafic police,aisee ni kwikwi hasa barabara ya airport kutoka mjini na barabara kutoka mjini kwenda igoma,yaan wanakaba kinyama,mbaya zaidi unakuta wanakaa mafungu mafungu noma sana
Jiji la mwanza lina manispaa mbili (nyamagana, ilemela)...jiji la dsm lina manispaa tano...majiji yaliyobakia bongo ni manispaa moja moja..(tunaongelea majiji sio mkoa mzima)Unazungumzia ukubwa gani hapa?
Tunza beach iko wap mkuuuNikishukaga nyegezi pale...nakuwa nimekwisha book chumba cosmopolitan hotel na kuwaambia wanitengenezee ugali samaki..anakuja samaki huyo kama mkono halafu yupo freshi kama hajawahi kaa kwenye fridge...cha ajabu sasa kwenye bei utashangaa unaambiwa buku 8...chumba buku 20 ambacho Arusha au Dar utaambiwa buku 40...kesho yake nakuwa nimeenda kuchill Tunza beach resort full utulivu..ebhana eeh mwanza napaelewa sana..
Kwanini iliwekwa hivi, kuna sababu za kiserikal au kiuchumiJiji la mwanza lina manispaa mbili (nyamagana, ilemela)...jiji la dsm lina manispaa tano...majiji yaliyobakia bongo ni manispaa moja moja..(tunaongelea majiji sio mkoa mzima)
Nani anapajua hapaView attachment 1235308View attachment 1235309
Zimefuatana na malaika beach ambayo ndio maarufu...ila mimi napaelewa zaidi Tunza beach sababu ya utulivu...kuna vibe flani zuri sanaTunza beach iko wap mkuuu
Kwanini iliwekwa hivi, kuna sababu za kiserikal au kiuchumi