Kinacho muangamiza Lowassa ni Ukimya wake!

Kinacho muangamiza Lowassa ni Ukimya wake!

BEHOLD

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
5,056
Reaction score
10,729
This is a hard fact!
Lowassa ana siri kubwa moyoni

Lowassa amekuwa kiongozi mkubwa katika taifa hili. Mazuri aliyoyafanya yalionekana na yataendelea kukumbukwa. Kama binadamu hawezi kukosa kasoro hapa na pale, ndio asili ya maisha na kuishi kwa binadamu yeyote.

Kilichokuja kukumbana na bwana huyu katika utendaji wake kama Waziri mkuu na sakata lililolitesa taifa la RICHMOND.
Toka wakati huo Lowassa ameonekana kama shetani, msaliti na fisadi mkubwa wa taifa hili.

Najiuliza ukweli hapa ukoje?

Nijuavyo mradi wa RICHMOND which was a MULT BILLION SHILLINGS CONTRACT, hauwezekani ukamhusu Lowassa pekee. Ni lazima cabinet yote ilihusika hatua kwa hatua hadi final conclusion yake.
Kum-single out MTU mmoja kwa jambo ambalo wengi wanapaswa kuwajibika, Its just not fair!

Kwa kauli ya Mkuu wa Nchi, hili kwa Lowassa lilikuwa ni ajali tu, (MANENO HAYA HAKUTAMKA KWA BAHATI MBAYA)

Lakini hata Lowassa mwenyewe kwa kauli yake siku ya kujiuzulu alitabanahisha kuwa anajiuzulu ili "KUKILINDA CHAMA CHAKE NA SERIKALI YAKE", Bila shaka kwa makosa haya ambayo yaneweza kukigharimu chama na serikali yake!

Leo anapigwa vita hadi ndani ya chama hicho alichokiokoa

Najiuliza siku akiamua nayeye kufunguka, Itakuwaje?
 
Mh. Ndugu Edward Lowassa Mpigania haki za wanyonge na Adui wa wazembe aendelee kukaa kimya maana maadui zake wanataka aongee watumie Fursa hiyo kum Victimize kama walivofanya kwa Vijana kama Hussein Bashe. Historia ya Utendaji uliotukuka kwa Kiwango cha juu wa Lowassa ndio utamjibia Mipasho yote inayoelekezwa kwake. Silaha ya Ushindi ya Ndugu Lowassa ipo kwa Mh. Mwenyekiti wetu wa Chama ambaye anajua na anakubali utendaji wa ndugu Lowassa na hata kumteua kuwa PM hakukutokana na urafiki nbali uwezo na kipaji chake kama alivowahi kunukuliwa mh. Rais December 2005 mara baada ya kumchagua.
 
This is a hard fact!
Lowassa ana siri kubwa moyoni

Lowassa amekuwa kiongozi mkubwa katika taifa hili. Mazuri aliyoyafanya yalionekana na yataendelea kukumbukwa. Kama binadamu hawezi kukosa kasoro hapa na pale, ndio asili ya maisha na kuishi kwa binadamu yeyote.

Kilichokuja kukumbana na bwana huyu katika utendaji wake kama Waziri mkuu na sakata lililolitesa taifa la RICHMOND.
Toka wakati huo Lowassa ameonekana kama shetani, msaliti na fisadi mkubwa wa taifa hili.

Najiuliza ukweli hapa ukoje?

Nijuavyo mradi wa RICHMOND which was a MULT BILLION SHILLINGS CONTRACT, hauwezekani ukamhusu Lowassa pekee. Ni lazima cabinet yote ilihusika hatua kwa hatua hadi final conclusion yake.
Kum-single out MTU mmoja kwa jambo ambalo wengi wanapaswa kuwajibika, Its just not fair!

Kwa kauli ya Mkuu wa Nchi, hili kwa Lowassa lilikuwa ni ajali tu, (MANENO HAYA HAKUTAMKA KWA BAHATI MBAYA)

Lakini hata Lowassa mwenyewe kwa kauli yake siku ya kujiuzulu alitabanahisha kuwa anajiuzulu ili "KUKILINDA CHAMA CHAKE NA SERIKALI YAKE", Bila shaka kwa makosa haya ambayo yaneweza kukigharimu chama na serikali yake!

Leo anapigwa vita hadi ndani ya chama hicho alichokiokoa

Najiuliza siku akiamua nayeye kufunguka, Itakuwaje?

Nijibu kwanza hili swali!! je alihusika au hakuusika?
 
Cha msingi ni Lowasa kujiweka wazi kabla ya uchaguzi,ili kama kuna jambo ambalo ataombwa kufafanua kwa manufaa yake lifanyike haraka kabla ya uchaguzi kama ataendelea kukaa kimya basi kupata hiyo nafasi hata kwenye chama chake itakuwa ni ngumu sana.Ni kweli Lowasa ni mtendaji mzuri sana hata jamii inamkubali kwa utendaji wake kasoro ni hiyo moja tu kukaa kimya bila ya kufunguka.
 
Hivi sasa ccm ni chama cha kundi fulani la watu na tayari wana Rais wao.
Lowassa hata akigombea bila kampeni anashinda Urais.
Ukweli ni kwamba mambo mazuri aliyolifanyia taifa hili yanaonekana.
 
Cha msingi ni Lowasa kujiweka wazi kabla ya uchaguzi,ili kama kuna jambo ambalo ataombwa kufafanua kwa manufaa yake lifanyike haraka kabla ya uchaguzi kama ataendelea kukaa kimya basi kupata hiyo nafasi hata kwenye chama chake itakuwa ni ngumu sana.Ni kweli Lowasa ni mtendaji mzuri sana hata jamii inamkubali kwa utendaji wake kasoro ni hiyo moja tu kukaa kimya bila ya kufunguka.
Mkuu Toothpick, silence yake ndio silaha yake kubwa na ndio karata yake ya mwisho!.

Wenye akili zao, wameishaelewa!, hebu mfuatilie JK, na Kinana kama wana udhubutu wa kumtaja EL!, hao wanaotaja taja ni wajinga wajinga tuu wasio elewa who's the real one behind Richmond!, EL ni mbebaji tuu wa mizigo ya watu!.
Kimya kingi kina mshindo mkuu, subirieni 2015, kama CCM ina jeuri ya kutomteua, itakuwa ndio imemwaga ugali, naye atamwaga mboga, msioelewa ndio mtaelewa!.

Hivi mtu mwenye akili zake timamu hawezi kujiuliza, kama huyu mtu amejiuzulu kwa kashfa, anawezaje tena sio kuutaka urais, bali hata kuufikiria tuu huo urais?.

Pasco
 
siri ya nini, EL ni mpuuzi Fulani tu, mpaka akishgulikiwa ndo anatishia kusema ukweli basi ni fara Fulani tu ambaye hana mapenzi na TZ bali tumbo lake na familia yake
 
This is a hard fact!
Lowassa ana siri kubwa moyoni

Lowassa amekuwa kiongozi mkubwa katika taifa hili. Mazuri aliyoyafanya yalionekana na yataendelea kukumbukwa. Kama binadamu hawezi kukosa kasoro hapa na pale, ndio asili ya maisha na kuishi kwa binadamu yeyote.

Kilichokuja kukumbana na bwana huyu katika utendaji wake kama Waziri mkuu na sakata lililolitesa taifa la RICHMOND.
Toka wakati huo Lowassa ameonekana kama shetani, msaliti na fisadi mkubwa wa taifa hili.

Najiuliza ukweli hapa ukoje?

Nijuavyo mradi wa RICHMOND which was a MULT BILLION SHILLINGS CONTRACT, hauwezekani ukamhusu Lowassa pekee. Ni lazima cabinet yote ilihusika hatua kwa hatua hadi final conclusion yake.
Kum-single out MTU mmoja kwa jambo ambalo wengi wanapaswa kuwajibika, Its just not fair!

Kwa kauli ya Mkuu wa Nchi, hili kwa Lowassa lilikuwa ni ajali tu, (MANENO HAYA HAKUTAMKA KWA BAHATI MBAYA)

Lakini hata Lowassa mwenyewe kwa kauli yake siku ya kujiuzulu alitabanahisha kuwa anajiuzulu ili "KUKILINDA CHAMA CHAKE NA SERIKALI YAKE", Bila shaka kwa makosa haya ambayo yaneweza kukigharimu chama na serikali yake!

Leo anapigwa vita hadi ndani ya chama hicho alichokiokoa

Najiuliza siku akiamua nayeye kufunguka, Itakuwaje?

Kama uko karibu na Ed Low tafadhali mwambie atakufa na hizo "siri" zake; salama yake ajisalimishe kwa kukiri, kutubu na kurudisha kama Zakayo alivyofanya.

Na pia hata yeye akitubu na kusamehewa, CCM hatuwezi kuisamehe kwa ukatili na uovu ambao imetenda ktk ardhi hii. Hivyo urais kupitia CCM atasikia tu kwenye njozi.
 
Lowassa hana 'GUTS'...was he man enough he would have chosen MREMA'S path.. back in 90s..
 
Back
Top Bottom