Kinacho fanywa na mawakala wa TRA

Kinacho fanywa na mawakala wa TRA

Nikwanini yasiwe yanalipiwa kodi hukohuko bandarini kama mwenye kituoametoa oda ya lita eftu kumi basi zile sh.40 wanamalizana nae huko alafu yeye atakuja kujilipa kwa sisi wateja wake
 
Ningemwambia mafuta niliweka mwaka jana nikasafiri ndo merudi
 
Ningemwambia mafuta niliweka mwaka jana nikasafiri ndo merudi
54702ed90469f17d4c9974d5514ce634.jpg


Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
 
Vipi kuhusu, mashine nyingine kama za , kusaga, kusindika, jenereta nk.
Zikutwa zimezimwa au zinawaka wanakagua risiti za mafuta yake ?
Au ni magari tu ?
 
Hilo zoezi litakuwa gumu , na la uonevu, kutokana maelezo ya mtoa mada ni kama hao Tra wanahamasisha kutunza risiti na si kudai risiti, kuna watu hayo mafuta wanajaza mara moja au mbili ndani ya mwezi, , ina maana hiyo risiti ikae tu humo kwenye gari?
Vipi kwa magari yanayoingia njiani weekend tu inamaana watalazimika kumaliza mafuta yote kabla ya kupaki ili awe na fresh receipt kila gari inapoingia barabarani?
Naona kama zoezi zima litakuwa limekaa ki layman zaidi bila kuhusisha busara na weledi , huwezi ukaweka watu wakague kiasi cha mafuta kwenye gari ambayo hata hujui ratiba zake za mzunguko ziko vipi.

Sent from my C107-9 using JamiiForums mobile app
 
Sidhani kama mkuu unachosema kina ukweli wowote. Mimi napita hapo si chini ya mara 16 kwa siku na ni kila siku. Sijawahi ona kitu kama hicho.
Sio kweli kwa kuwa hujawahi kuwaona au

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom