Kinacho fanywa na mawakala wa TRA

Kinacho fanywa na mawakala wa TRA

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,433
Wamenisimamisha kwenye taa sa Sarender Bridge, wakasema wanataka wakague Mafuta. Akaangalia gauge kwenye dashboard akakuta kuna nusu tank, akauliza risiti. Nikamuuliza risiti ya nini? Eti ya nilijiwekea mafuta. Uzuri nilikuwa nayo, akaisoma kisha akaondoka.
Swali:-
Je huu ni utaratibu rasmi wa TRA au ndio utapeli na upigaji mpya jijini?
 
Wamenisimamisha kwenye taa sa Sarender Bridge, wakasema wanataka wakague Mafuta. Akaangalia gauge kwenye dashboard akakuta kuna nusu tank, akauliza risiti. Nikamuuliza risiti ya nini? Eti ya nilijiwekea mafuta. Uzuri nilikuwa nayo, akaisoma kisha akaondoka.
Swali:-
Je huu ni utaratibu rasmi wa TRA au ndio utapeli na upigaji mpya jijini?
Sidhani kama mkuu unachosema kina ukweli wowote. Mimi napita hapo si chini ya mara 16 kwa siku na ni kila siku. Sijawahi ona kitu kama hicho.
 
Makusanyo hakuna tuwape mda watauliza mpka umepiga round ngapi kwa siku
 
Walimkamata jana boss wangu mitaa hiyo hiyo uzuri alitembea na risiti
 
Wamenisimamisha kwenye taa sa Sarender Bridge, wakasema wanataka wakague Mafuta. Akaangalia gauge kwenye dashboard akakuta kuna nusu tank, akauliza risiti. Nikamuuliza risiti ya nini? Eti ya nilijiwekea mafuta. Uzuri nilikuwa nayo, akaisoma kisha akaondoka.
Swali:-
Je huu ni utaratibu rasmi wa TRA au ndio utapeli na upigaji mpya jijini?
Huyo ni msenge tu tena siku nyingine ukikutana na mwingine mchyonye mavi. Pumbavu kabisa.
 
Tulieni wandugu , kukusanya kodi ni kama mchezo wa paka na panya kuna wanaotafutwa hapo.
 
Hapa nikaage kimya tu, maana hata sijaweza kumiliki...
 
Wamenisimamisha kwenye taa sa Sarender Bridge, wakasema wanataka wakague Mafuta. Akaangalia gauge kwenye dashboard akakuta kuna nusu tank, akauliza risiti. Nikamuuliza risiti ya nini? Eti ya nilijiwekea mafuta. Uzuri nilikuwa nayo, akaisoma kisha akaondoka.
Swali:-
Je huu ni utaratibu rasmi wa TRA au ndio utapeli na upigaji mpya jijini?

Wacha na mimi nipambane ninunue ndinga.
 
Ila ni sawa... Kama wanahimiza kila unachonunua dai risiti... Kwa nini usichukue risiti ya mafuta...



Cc: mahondaw
 
Duuh wameshafikia huko, daah cjui huko mbele ya safari anayejua ni Mungu tu.
 
Back
Top Bottom