Kinacho endelea sasa TBC live "KONGAMANO"

Kinacho endelea sasa TBC live "KONGAMANO"

Wameleta pande mbili zinazokinzana au ni kama ile iliyopita ya propaganda (wamekusanya watu wenye msimamo mmoja wanabadilishana mawazo na kupongezana)?
 
Dr. RASUL AHMED ndio mtoa mada wa kwanza " HALI YA MUUNGANO TULIPOTOKA NA TULIPO"
Sasa ana ongea mchambua mada Dr.Salim Othman.
 
Wameleta pande mbili zinazokinzana au ni kama ile iliyopita ya propaganda (wamekusanya watu wenye msimamo mmoja wanabadilishana mawazo na kupongezana)?





kuna makamu wa Rais,prof. Kabudi anajaribu kuongea ukweli,viongozi wote ni wa ccm. kauli yao ni TUUDUMISHE,TUULINDE MUUNGANO WETU.
 
Wakuu tunaweza mfuatilia prof. Kabudi yuko live sasa naona anafafanua masuala mbalimbali ya kikatiba. Amesema muungano wa mkataba unavunja muungano.
 
Anasema Tanganyika sio jina harama imeshatajwa hata katika katiba ya sasa
 
Prof kabudi yupo sasa hivi live tbc 1 na amesema kuwa hati za muungano zililidhiwa upande wa tanganyika LAKINI upande wa zanzibar hazikulidhiwa hivyo ndo sababu wakapendekeza mfumo wa serikari 3
 
Asema mjadala wa serikali tatu sio mzito kama wa mwaka 1983/84 kwakuwa ule uliongozwa na Serikali ya mapinduzi ya znz na ulitawaliwa na hoja.
 
Kabudi alikuwa anawapa ukweli kuhusu ukali wa mjadala wa sasa wa katiba na ule wa mwaka 1984 wakakata matangazo. Tbc wanavituko sana
 
Back
Top Bottom