Wameleta pande mbili zinazokinzana au ni kama ile iliyopita ya propaganda (wamekusanya watu wenye msimamo mmoja wanabadilishana mawazo na kupongezana)?
Wameleta pande mbili zinazokinzana au ni kama ile iliyopita ya propaganda (wamekusanya watu wenye msimamo mmoja wanabadilishana mawazo na kupongezana)?
Prof kabudi yupo sasa hivi live tbc 1 na amesema kuwa hati za muungano zililidhiwa upande wa tanganyika LAKINI upande wa zanzibar hazikulidhiwa hivyo ndo sababu wakapendekeza mfumo wa serikari 3
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.