Unashindana na nani ?!. Mbona mnatumia vyombo vya dola kuwadhibiti ?!. Maendeleo siyo madege tu, Ethiopia wanayo mia na lakini Wananchi wanaikimbia nchi yao !!!
Kule kilimilile Nyankere wanakunywa maji ya DimbwiJIMBO LA NAPE MTAMA WALIOKUFA KWA SHIDA YA MAJI WAMEFIKA 8
SWISSME
View attachment 1246782
Kuna hawa waliolala
Watu kama hawa ndo wanasababisha bangi iemdelee kuonekana ina madhara.View attachment 1246782
Kuna hawa waliolala
Anajimwambafai sana na jiwe wakati hata upokezi wa ndege hakaribishwi.Huyu anashabikia ki bange bange tu...
Hata udiwani haumfai,
Sijawahi kuona hata balozi wa nyumba 10 Rasta